National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
wengine wanakuzushia sasa.. kma mie nazushiwa malaya.. hivi kweli yani ? wanapata dhambiukiona mtu anaanzisha ugomvi usimjibu
wengine wanakuzushia sasa.. kma mie nazushiwa malaya.. hivi kweli yani ? wanapata dhambiukiona mtu anaanzisha ugomvi usimjibu
Hatuna tabu na mtu😂🤣😁Wa pili niko hapa nimejaa tele💃💃
Ili nianzishe uzi😂🤣😁,hahaha
kukataliwa kawaida, anza mapema uzoee
Hee kwani huku kuna wa mkoani?Oya nasikia humu Kuna limitations, wa mikoani hatu ruhusiwi🤣😂😁
🙂🙂🙂 pamekuwa kama genge la mipasho. kila mtu ana watu wake.. zamani ilikuwa raha..Mwazo palikuwa hakuna uswahili nilivutiwa na kijiwe hiki sana lakini watoto watoto wa tandale wamevamia hapa hapanog ata kupunguza mawazo
Haya hao wambea wanaongeza nini maishani mwao,?Hapana
Mwanzoni NilIkua mdau Huku ,yakaanza mambo meusi mmehama sipendi nimuamini Mtu then alete uswazi NilIkua najiposti Tena live kabisaMwazo palikuwa hakuna uswahili nilivutiwa na kijiwe hiki sana lakini watoto watoto wa tandale wamevamia hapa hapanog ata kupunguza mawazo
Sure mkuu ilikuwa peaceful mimi hapa nilipapenda sana nikatoka uko nikawa nashinda hapa ila now natafuta chimbo🙂🙂🙂 pamekuwa kama genge la mipasho. kila mtu ana watu wake.. zamani ilikuwa raha..
NimeshtukaDah ko ngapi ngapi🤣😂😁
Ndio kukosa kazi huko.Haya hao wambea wanaongeza nini maishani mwao,?
Kuna mtu alienda kusema uko mmimi msukuma makazi yangu mikocheni anielezea as if tumekutana nikampotezeà hapa ananijuà kwa face ni wawili tu lakin from no where mtu anakuelezea kuna muda ni kelo mwazo paliikuwa pametulia sana
Sana mtu anasev picha sijui lengo lake kuu lipiMwanzoni NilIkua mdau Huku ,yakaanza mambo meusi mmehama sipendi nimuamini Mtu then alete uswazi NilIkua najiposti Tena live kabisa
Sasa hv mmepumzika Kwa kweli
Mabolo yamewagombanishapamekuwa kama genge la mipasho. kila mtu ana watu wake.. zamani ilikuwa raha..








!!!jamani byeee



We mbona sikuiz una hama uku mdogomdogoNdio kukosa kazi huko.
Hao ni kuwapotezea tu na kuendelea kuenjoy maisha yako
Samaleko mtoto wa dada.Mwazo palikuwa hakuna uswahili nilivutiwa na kijiwe hiki sana lakini watoto watoto wa tandale wamevamia hapa hapanog ata kupunguza mawazo
Baadae azirushe mkitibuana akudhalilisheSana mtu anasev picha sijui lengo lake kuu lipi
Na wakizubaa nao nakuja kukaa na mke hapahpaHamna kutoka kwa shemeji, labda watutoe na bunduku, napo tunagomaaaa
Usiponiona huku basi jua sina bando, Ila hapa nyumbani siwezi kuhamaWe mbona sikuiz una hama uku mdogomdogo
Mmekumishii dogooooSamaleko mtoto wa dada.