Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[mention]Intelligent businessman [/mention]
IMG_1124.jpg
 
Haya hao wambea wanaongeza nini maishani mwao,?

Kuna mtu alienda kusema uko mmimi msukuma makazi yangu mikocheni anielezea as if tumekutana nikampotezeà hapa ananijuà kwa face ni wawili tu lakin from no where mtu anakuelezea kuna muda ni kelo mwazo paliikuwa pametulia sana
Ndio kukosa kazi huko.

Hao ni kuwapotezea tu na kuendelea kuenjoy maisha yako
 
[emoji846][emoji846][emoji846] pamekuwa kama genge la mipasho. kila mtu ana watu wake.. zamani ilikuwa raha..
Mabolo yamewagombanisha[emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!jamani byeee
Hayanihusu ,mi Sina timu!!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom