Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Hatulii mimi namuangalia tu anavyojifanya single huku ananibebisha na babe🚮pacha tulia basi
Hatulii mimi namuangalia tu anavyojifanya single huku ananibebisha na babe🚮pacha tulia basi
😅😅😅 wanatunga sheria .. we subiri tu watu watauana hapa.. mie leo niki logout tutaona miezi kadhaaaTangu wameanza umbea uko pm mchicha au chainizi bado hazijaota tuchume ili tufanye mbooga?
Ahhh Sina dhamana na mtu😂😁🤣Hebu acha yaishe😂
Ahahaha mimi nipo nasubili nasubili cha mmchana ugali bila tommato hapanaWee siondoki, nani hapendi kula mkate na blubendiiii 😋
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wee siondoki, nani hapendi kula mkate na blubendiiii 😋
HapanaKwahiyo ukiwa jobles ni halali kuwa mbea?
na wewe mbona kuna watu hapa inaonekana umewachukia 🤣🤣🤣Wawe wanatuweka wazi na vyanzo vya ugomvi wao wasitutese wambea![]()
Shida una lalamika sana,😂🤣, kwani una tegemea uki niacha.Hatulii mimi namuangalia tu anavyojifanya single huku ananibebisha na babe🚮
Ngoja nitulie😌Ahhh Sina dhamana na mtu😂😁🤣
tatizo la selfika, umbeya mwingi kwenye vibanda vya PM.. hadi watu wanachukiana watu kiboya boya



I love you 😁Ngoja nitulie😌
akupe shavu huyu ofisa 😅😅Jobless wa kwanza nipo hapa😂😁
Me jobless huoni hadi wei naweka.ndio na weye wape kazi wadogo zako sasa 😅😅😅 sio unasubiri tuje kukuomba hela
Mwazo palikuwa hakuna uswahili nilivutiwa na kijiwe hiki sana lakini watoto watoto wa tandale wamevamia hapa hapanog ata kupunguza mawazo😅😅😅 wanatunga sheria .. we subiri tu watu watauana hapa.. mie leo niki logout tutaona miezi kadhaaa
Mapenzi haya🤣😁😂, Acha niwe single.Wawe wanatuweka wazi na vyanzo vya ugomvi wao wasitutese wambea![]()
Utawezana?🤣kwahiyo mi size yako si ndio😅
selfika ya zamani ilikuwa powa sana.. tuliishi kama ndugu.. ila sijui kuna shetani gani hapa kaweka kambi.. 😅😅😅... tuma picha kwanzaHebu lete ubuyu Kamili sio unaleta nusu best![]()
Oya nasikia humu Kuna limitations, wa mikoani hatu ruhusiwi🤣😂😁akupe shavu huyu ofisa 😅😅
Hamna kutoka kwa shemeji, labda watutoe na bunduku, napo tunagomaaaaAhahaha mimi nipo nasubili nasubili cha mmchana ugali bila tommato hapana