Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,903
- 57,682
Hapana bado naendelea kulima, unajua kilimo cha Tanzania hakitabiriki ndiyo maana najaribu kulima mazao tofauti ili ikitokea unaanguka zao moja basi lingine linakubeba.Vipi heka ulizo achia mbarali, hauzi kodishi mkubwa.?

