Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sema nahisi sasa hivi kawa captain... Haitumii tena G.XR mitaaa ambayo anapitaa siku hizi naona L300 tu.. Jadda ni wewe huyo au umebadili njia Pilot wangu
Haha mdogo wangu haya yote umeyatoa wapi, niliwaambia mimi ni housegirl natafuta kazi ya ukonda wa mabasi ya mikoani, hayo ya uafande mbona nilishasema nilikuwa nawazingua asee
 
Wow wow Jadda leo nimeiwahi Beautiful macho

Thanks dada angu mzuri mzuri you are missed

Yani ilibaki kidogo nikutag ila nikajua lazima tu utaiona cause huwa naona upo active humu, this was for you na nilikuwa nahesabu muda hapa hadi saa fulani usipoiona nakutag uione ndio niifute, bora ulivyojileta

Manake nimekumbuka ile siku uliniomba nikakuambia siku simba ikichukua ubingwa ndio nitajipost ila haikuchukua, jana nikaona acha nitupie walau dada angu aione ili nisibaki na deni, maana sisi wengine siku hizi kuingia selfika ni mara moja moja sana
 

Thanks dada angu mzuri mzuri you are missed

Yani ilibaki kidogo nikutag ila nikajua lazima tu utaiona cause huwa naona upo active humu, this was for you na nilikuwa nahesabu muda hapa hadi saa fulani usipoiona nakutag uione ndio niifute, bora ulivyojileta

Manake nimekumbuka ile siku uliniomba nikakuambia siku simba ikichukua ubingwa ndio nitajipost ila haikuchukua, jana nikaona acha nitupie walau dada angu aione ili nisibaki na deni, maana sisi wengine siku hizi kuingia selfika ni mara moja moja sana
💕💕💕💕 Thank you so much, mdogo wangu. Nimefurahi sana. Nimekuona huna deni tena. Barikiwa sana, tupo pamoja Jadda
 
20230720_131130.jpg
 
Back
Top Bottom