Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Mtakua kwa rafiki yenu mpya...nanii....shetty!😁😁Muda huo sisi tutakuwa wapi?
Labda kama tukishaenea kwenye seat🤣
Mtakua kwa rafiki yenu mpya...nanii....shetty!😁😁Muda huo sisi tutakuwa wapi?
Labda kama tukishaenea kwenye seat🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaanza zako mazoezi upunguze kitambi mara mimba[emoji23][emoji23]
Weee ushindwe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mtakua kwa rafiki yenu mpya...nanii....shetty![emoji16][emoji16]
Mayai[emoji7]Depal njoo ule na mgeni!View attachment 2692817
Yanapendeza ila siyapendi!!!😵😵😵Mayai[emoji7]
Yanachosha haraka tatizoYanapendeza ila siyapendi!!![emoji43][emoji43][emoji43]
Namalizia kwenda kwa Dr Lizzy kulipakuwa
Huu mguu hautoki na hotpot lililojaa pilauView attachment 2692383
Hiyo von Shingapi?Uhhhhh!!! The cake looks extra yummy!!😍😍
Kweli huwa inachosha...labda itokee uwe umemiss sana pishi lako mwenyewe!!🥴
Njoo tule pilau sasa.....
View attachment 2692308
Kufunga mtandioo kichwani leo nilikua kwa mwenye Halmashauri yake nimepiga jarabibibii sijui ndio hijabu au jubaaa mnaita mi sijui hata😊😊😁!! mtandio kichwani haukai Kabisaaaa!!Kufunga kilemba au,?
Cousin hv vitu vina wenyewe....mimi kilemba kilinishinda nafungaga kama wabibi napita hv 😀😀😀Kufunga mtandioo kichwani leo nilikua kwa mkurugenzi nimepiga jarabibibii sijui ndio jubaaa mnaita mi hata sijui 😊😊😁!! mtandio kichwani haukai Kabisaaaa!!
Yaniii!! Ile asubuhi nikataka nikuulize cuzooo hivi wee ni muislam eehhh, hebu fanya kuja kuokoa jahazi hapaaaa ni dakika sifuri huooo mtandio umepereruka ..😁😁😁😊!Cousin hv vitu vina wenyewe....mimi kilemba kilinishinda nafungaga kama wabibi napita hv 😀😀😀
Medical herbs.Nini hiki
BangeMedical herbs.
Sikumbuki kwakweli....kachungulie dukani kwao pale Mlimani.Hiyo von Shingapi?
No bange ni uchafu hii ni medical sativa.Bange
OkNo bange ni uchafu hii ni medical sativa.