Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,506
- 8,716
Vya kale dhahabu hata ivo Niko tiyari kuviona piaMie wa kuogopa watruuu jf mnywani lol !!! Katruuuuu sijawahi ogopa mtu humuuu !!
Tatizo sina mpyaaaa!!
Vya kale dhahabu hata ivo Niko tiyari kuviona piaMie wa kuogopa watruuu jf mnywani lol !!! Katruuuuu sijawahi ogopa mtu humuuu !!
Tatizo sina mpyaaaa!!
Hahahaaa..Mchambo wa kizunguu siupatiiii pichaaaa!!Haha Nilikutaga mchambo wa kidhungu mahala wakawa wanaunasibisha na mnywani wangu.
Hahahaaa mnywanii unajua kung'ang'ania lol🤠🤠😂!Vya kale dhahabu hata ivo Niko tiyari kuviona pia
Nasubiria mnywaniHahahaaa mnywanii unajua kung'ang'ania lol🤠🤠😂!
Ngoja nikuchekie ya miaka 47 hukooo
Usipepese hata kopeeee napita kama nilivoooo !!
😁😁😁😁😁!! Kumbe namie nilikuemoooo😂😂😂😁😁! Itakua enzihizo nimetoka English course 🤠🤠🤭!!
Mniache kabisakabisaa hujuii.nguo.


Mwaka juzi uleule tu niliuchelewaUnafeli bana!!!

Mbona yupo hapa mara mojamoja anakujagaTulipotezana hata sijui Yuko wapi siku hizi
Nyie wakongwe mna udambwi dambwi mwingi Sana humu😁😁😁😁😁!! Kumbe namie nilikuemoooo😂😂😂😁😁! Itakua enzihizo nimetoka English course 🤠🤠🤭!!
Dakika sifuriiii ..baki hapohapooo
Toka uhamie "daslamu" saivi hushikiki![]()


Kivipi Mkuu?Ni wa moto huyu bibie![]()
AiseeeNa wew umeona eeeh

Nitumie basi debe 2 za mahindiKaribu upige kazi Tena saiz tumevuna mahindi uje upigwe vumbi hapa warehouse
Amina kubwaaa kipenziii!! Nawe Omukama akubele cousin!!Cousin imetisha sana ama kweli umebarikiwa
Wakora muno....Omukama alinde
Yele uwiiih halafu Unajichetua ww si mzuri hahahaaa.
Santrooo sana mnywanii !! Kesho nayo ni sikuMacho yamefurahi