YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Ok naisubiri 🙂🙂 kwa bashasha. 😀Usijareee ni surprise ankoooo anguu 🤠🤠!!
Ok naisubiri 🙂🙂 kwa bashasha. 😀Usijareee ni surprise ankoooo anguu 🤠🤠!!
Hahahaaa.... !!Yani ukiimaanisha mtu mbilikimo
Weka vitu!Sidaiwi Wala sitoki na mume wa mtuuu mnywanii!!!.
Haha Nilikutaga mchambo wa kidhungu mahala wakawa wanaunasibisha na mnywani wangu.Hahahaaa.... !!
Mie wa kuogopa watruuu jf mnywani lol !!! Katruuuuu sijawahi ogopa mtu humuuu !!Weka vitu!
Usiishi kwa kuhofia walemwengu.
Manabii wenyewe hawakupendwa na watu wore
Shusha vitu vya kulalia embu
Vya kale dhahabu hata ivo Niko tiyari kuviona piaMie wa kuogopa watruuu jf mnywani lol !!! Katruuuuu sijawahi ogopa mtu humuuu !!
Tatizo sina mpyaaaa!!
Hahahaaa..Mchambo wa kizunguu siupatiiii pichaaaa!!Haha Nilikutaga mchambo wa kidhungu mahala wakawa wanaunasibisha na mnywani wangu.
Hahahaaa mnywanii unajua kung'ang'ania lol🤠🤠😂!Vya kale dhahabu hata ivo Niko tiyari kuviona pia
Nasubiria mnywaniHahahaaa mnywanii unajua kung'ang'ania lol🤠🤠😂!
Ngoja nikuchekie ya miaka 47 hukooo
Usipepese hata kopeeee napita kama nilivoooo !!
😁😁😁😁😁!! Kumbe namie nilikuemoooo😂😂😂😁😁! Itakua enzihizo nimetoka English course 🤠🤠🤭!!
Mniache kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaa hujuii.nguo.
Mwaka juzi uleule tu niliuchelewa[emoji23]Unafeli bana!!!
Mbona yupo hapa mara mojamoja anakujagaTulipotezana hata sijui Yuko wapi siku hizi
Nyie wakongwe mna udambwi dambwi mwingi Sana humu😁😁😁😁😁!! Kumbe namie nilikuemoooo😂😂😂😁😁! Itakua enzihizo nimetoka English course 🤠🤠🤭!!
Dakika sifuriiii ..baki hapohapooo
[emoji23]Toka uhamie "daslamu" saivi hushikiki [emoji23][emoji23]
Kivipi Mkuu?Ni wa moto huyu bibie[emoji1][emoji1][emoji1]
AiseeeNa wew umeona eeeh