🥹🥹 ulikuwa unakimbia sana ule uziUzi umefutwa 🤣🤣🤣🤣
Lenie
badala wakae walokote ma points 🤣🤣🤣Aki sijapenda🤣🤣
Mod wamezingua
Mlijimwaga mno nanyie 🤣🤣🤣🥹🥹 ulikuwa unakimbia sana ule uzi
na nyie mlikuwa mnakuja kuja, kdg tu mgesema ukweli [emoji23][emoji23]Mlijimwaga mno nanyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti jamanibadala wakae walokote ma points 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 hamna hatana nyie mlikuwa mnakuja kuja, kdg tu mgesema ukweli [emoji23][emoji23]
Sent from my CPH2357 using JamiiForums mobile app
Ulikuwa una husu nini?Eti jamani
Asa uzi ulikua na shida gani, uonevu tu
Oooh kuuumbe kule kujiachia sabb ni hii 😄🍻Kazi iliyobaki 😂😂🥂
View attachment 2689877
View attachment 2689879
Arumeru Arusha vumbi sio lakitoto
usije tu ukashushia na mlenda [emoji23][emoji23]Kazi iliyobaki [emoji23][emoji23][emoji1635]
View attachment 2689877
Wala hata 🤣🤣Oooh kuuumbe kule kujiachia sabb ni hii 😄🍻
Ahahhaah punguza thambi ndogo ndogoHujablash viatu
Acha kusingizia mikoa ya watu
Depal uzi ulio.futwa ulikuwa unahusu nini?Wala hata 🤣🤣
Niko tu na vibe langu
Hii hata haijafika popote bado 🌚
😂😂😂 hii kazi ya kula milenda wafanye mayatima wa mapenzi.
HaahaDepal uzi ulio.futwa ulikuwa unahusu nini?
Yaani sielewi ukiniambia ivyo walikuwa wanayamwaga nini?Haaha
Ulikuwa uzi wa kawaida tu
Watu wanayamwaga