Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Na wew umeona eeehNi wa moto huyu bibie![]()
Na wew umeona eeehNi wa moto huyu bibie![]()
Nimeona kitambo sanaNa wew umeona eeeh






HahahaaaNimeona kitambo sana
Amebadilika kila kitu hadi kuandika![]()
Karibu upige kazi Tena saiz tumevuna mahindi uje upigwe vumbi hapa warehouse



bora nyie mmevuna, home ndo badoo nawaza kuingia msituni, Yale majani yanavowashaa woiiiiIla ugali si mtamu ? Hahah wazaz wakakufanyie baby shower ya karibu mtaani utawashwa mpaka nanihiibora nyie mmevuna, home ndo badoo nawaza kuingia msituni, Yale majani yanavowashaa woiiii
Mpakaa nn??Ila ugali si mtamu ? Hahah wazaz wakakufanyie baby shower ya karibu mtaani utawashwa mpaka nanihii





Kisumbufu hicho. 😅😅😆😆 Utakiweza??Nimekiona ankooo ni kisafi kizuriiiii nakiombaaa!!
HahahaaaMpakaa nn??
Ntakufinya mashavu hayoo.
Ndio Ntampa Jr kazi ya kuparangana nacho!Kisumbufu hicho. 😅😅😆😆 Utakiweza??
Hichi ni ki cute sana acha nikae nacho kwanza 😆😆😆.Ndio Ntampa Jr kazi ya kuparangana nacho!
Vibaya hivooo ankooo!! !!!Hichi ni ki cute sana acha nikae nacho kwanza 😆😆😆.
Labda nikutafutie kingine. 🤣😃😃
Naona naona Kumekuchaa na makucha yakee ankooo samalekoo!!
Ngoja nione. 😆😆😆Vibaya hivooo ankooo!! !!!
Iko kingine kiwe kama ikoo yani hivohivoo!
Ankoo angu achana naooo tuendelee kuselfika zeityyuuu sieee!!Alafu Antonnia mbona hukunitag mapema aseee. 🤣🤣🤣🤣
Unajua ni bora usiwe na tako ila sura ieleweke sasa imagine mtu huna
Tako. Sura kama ya ngombe umechakazwa na wanaume mpaka basi umezalishwa mtoto ukaachiwa
Eti wanasema kama selfika wao wamekosa wana kuja kuwananga 🚮🚮🚮
Stupid na wanavyojiona wadogo sasa 🤣🤣🤣🤣
Na uwaambie 2033 sio mbali tuanze kuwahesabia vikoko ndoa hawzna wanakimbizana huku. Kama mataira
Alafu tonnia unajua yule naniilii aliniomba nifungue pm kupitia id yangu X 🤣🤣🤣🤣. Daaah njaa zao ni mbaya.
Kama wanagongwa ili kulipia luku ya 20,000 unategemea nn.
Wengine bado wapo kwa wazazi wanajikuta wamefika nakwambiaje acha tuselfike tu mpaka wafeee 😆😆🚮
Mizoga ya mbagala hiyo . 😏😏😏
Nasubiria Ikiwezekana kiwe kizuriii kuzidi hiko anko!Ngoja nione. 😆😆😆
Waoohhh!!