Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Alafu Antonnia mbona hukunitag mapema aseee. 🤣🤣🤣🤣

Unajua ni bora usiwe na tako ila sura ieleweke sasa imagine mtu huna

Tako. Sura kama ya ngombe umechakazwa na wanaume mpaka basi umezalishwa mtoto ukaachiwa

Eti wanasema kama selfika wao wamekosa wana kuja kuwananga 🚮🚮🚮


Stupid na wanavyojiona wadogo sasa 🤣🤣🤣🤣

Na uwaambie 2033 sio mbali tuanze kuwahesabia vikoko ndoa hawzna wanakimbizana huku. Kama mataira


Alafu tonnia unajua yule naniilii aliniomba nifungue pm kupitia id yangu X 🤣🤣🤣🤣. Daaah njaa zao ni mbaya.

Kama wanagongwa ili kulipia luku ya 20,000 unategemea nn.

Wengine bado wapo kwa wazazi wanajikuta wamefika nakwambiaje acha tuselfike tu mpaka wafeee 😆😆🚮

Mizoga ya mbagala hiyo . 😏😏😏
Ankoo angu achana naooo tuendelee kuselfika zeityyuuu sieee!!
Hauna ka blessings ka kuufanya Usiku wangu uende vizuree hapoo??🤔
cocastic nimemiss kigodoro kipenziii!!!
 
Mwehh sijichetui hata kwa uzuri gani nawee mfyuuu!! 😏😏😏!!!!
Umeanza sio

Nilishakuambiga ungekuwa agemate wangu nisingekuacha basi tu Mungu hakupanga iwe hivyo.

Hayo macho yako mi hoi.

Na hizo hips na tako sasa 🙈🙈🙈🙈. Au acha niishie hapo.

Auntiee mzuri 🤗🤗☺️☺️. Unajijua vizuri tu. 😎😆
 
Umeanza sio

Nilishakuambiga ungekuwa agemate wangu nisingekuacha basi tu Mungu hakupanga iwe hivyo.

Hayo macho yako mi hoi.

Na hizo hips na tako sasa 🙈🙈🙈🙈. Au acha niishie hapo.

Auntiee mzuri 🤗🤗☺️☺️. Unajijua vizuri tu. 😎😆
😏😏😏🚮🚮🚮🚮!!🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️

💤💤💤💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
 
Mnywanii siamini mawewe umeanza kuninafkiaa mnywanii sifa zina wenyewe hizooo sio miee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!

Waalaykum Salaam mnywanii!! Karibu tena selfikaaa!!
Hahaha tuko mita chache sana
Nataka nikujie niku suprize

Maana lile vumbi la frester lilivonipuliza; ndilo linanitia nguvu ujue
 
😏😏😏🚮🚮🚮🚮!!🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️

💤💤💤💤💤💤💤😴😴😴😴😴😴
Ulale unono auntiee mzuri na leo iitwe siku 😪😪😪😪😇😇😇.

Sweet dreams malaika wa ulinzi akulinde ulale kama mtoto mdogo. 🤣☺️
 
Back
Top Bottom