Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
☺️☺️☺️☺️Our handsome boy
Mwee ningekuwa nimezaa mwakajuzi, sasahivi angekuwa anatembea
Eti ungezaa mwaka juzi.....🤣🤣🤣🤣
Basi zaa mwaka huu ili awe anatembea mwaka kesho kutwa!!!🙂
☺️☺️☺️☺️Our handsome boy
Mwee ningekuwa nimezaa mwakajuzi, sasahivi angekuwa anatembea
Kuna watu raha yao ni bajaji kwa ajili ya kupata hewa safi.Kweli nisikufuru!!!😊
Dah
Eti ungezaa mwaka juzi.....
Basi zaa mwaka huu ili awe anatembea mwaka kesho kutwa!!!![]()


Iringa mdogo wanguWapiii hapa brohhzzz??
📌📌Kuna watu raha yao ni bajaji kwa ajili ya kupata hewa safi.
Usifikiri kupanda bajaji ni unyenge...hapna Dr.
Oooh kumbe, ntakupitia.next weekIringa mdogo wangu
Hivi ulishampa Kalimbu G kibarua?
Khaaaa
Nguo nazipenda Mimi watu hawazipendi ila zile nisizopenda sasa
Tukiendaga dukani na dada zangu wanasemaga yaani wewe nguo hujui
Nzuri kwao mbaya,mm mbaya wao nzuri.



kabisaa hujuii.nguo.Pita hapa mdogo wangu niku spoil welcome party ya karibu mtaaniOooh kumbe, ntakupitia.next week
Unafeli bana!!!Dah
Yaani hadi akatembee siyo leo
Mwaka juzi uleule nilichelewa tu
Ningekuwa namtuma vitu saahizi.
Tulipotezana hata sijui Yuko wapi siku hiziHivi ulishampa Kalimbu G kibarua?
Kwa kweli na unipe maujuzi ya kutoboa life LA kitaa.Pita hapa mdogo wangu niku spoil welcome party ya karibu mtaani




Hahahaha nikuweka kadegree kako pembeni jioni nakunywaga kahawa na mh Alli hapi siku hizi mkulima huku hahahahaKwa kweli na unipe maujuzi ya kutoboa life LA kitaa.
![]()
Hahahaha nikuweka kadegree kako pembeni jioni nakunywaga kahawa na mh Alli hapi siku hizi mkulima huku hahahaha




sasa utanifunidsha hapo hapo live live,
Unakula mahewa yote ksbisa📌📌
Ndio sisi tunaokaaga mlangoni ehhh???😃
Karibu upige kazi Tena saiz tumevuna mahindi uje upigwe vumbi hapa warehousesasa utanifunidsha hapo hapo live live,
Toka uhamie "daslamu" saivi hushikikiHivi ulishampa Kalimbu G kibarua?


Nimekiona ankooo ni kisafi kizuriiiii nakiombaaa!!