Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,332
Auweeeeee... kweli umepasukaaa balaaaaaa!!😍😍😍😍!!
Nougaaa sana dear!! 💋 hizoooo👌
Auweeeeee... kweli umepasukaaa balaaaaaa!!😍😍😍😍!!
Mambo mazuri😊
Watu na rangiiiiii zaooo mjiniiiii,







Hongera kwa mapishi, ukiachika hapo kuna mkono wa mtu aki🤣Yah zilikuwa laini pia
The pain is real shougaaangu No way🤠🤠!!!Unaambiwa sio mzuri anaringia weupee, sasa km weupee rahisi nawee kuwa mweupee uringee,
Mtahaha na makoro koro, watu wanawakaaa orijinaleeeeeee.
Na hawavimbi wala nn.
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukandaNifundishe na mimi nimpikie Junia
Fanyaa hivyo lekcharaaa wakeeTukionana nitakupa mchongo
My wangu kuachwa kupo palepale 🤣🤣🤣Hongera kwa mapishi, ukiachika hapo kuna mkono wa mtu aki🤣
Mambo niThe pain is real shougaaangu No way!!!
!
Nasubiria saa 4 nifurahii na nafsi yangu miee![]()




Walahii mwamba anafauduuuuuuu 😋😋😋😋!!Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
😀😀😀Picha tu dear au sijui sikuhiz nakunywa maji mengi 🤣🤣Watu na rangiiiiii zaooo mjiniiiii,
Shangaziii ake trambaaaaaa, rangi ya mtumee, rangi ya dhahabuuu.
Haihitajiii torch, pakuwekwa panaonekanaa penyeweee.
"Pa kuwekwa panaonekana penyewe"🤠🤠😁😁😁🙌🙌🙌Watu na rangiiiiii zaooo mjiniiiii,
Shangaziii ake trambaaaaaa, rangi ya mtumee, rangi ya dhahabuuu.
Haihitajiii torch, pakuwekwa panaonekanaa penyeweee.
Kuna watu hawana shukrani kwenye hii dunia🤣🤣My wangu kuachwa kupo palepale 🤣🤣🤣
😀😀Asante kipenziWalahii mwamba anafauduuuuuuu 😋😋😋😋!!
Hongera sana mamaa masaptasapta!
Weee Kumbe ndio siriii!!??🤠🤠!😀😀😀Picha tu dear au sijui sikuhiz nakunywa maji mengi 🤣🤣
Eendiwoooooooo ndiwooo!! 😂 Lazima ajilambe vidole kwa utramuuu😋!😀😀Asante kipenzi
Mwamba kama mwamba🤣🤣🤣
Kiukweli hawana jema 😀😀Kuna watu hawana shukrani kwenye hii dunia🤣🤣
Ila kikubwa uhai
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu



mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.





Ndo maana ake."Pa kuwekwa panaonekana penyewe"
Mwisho wa kunuuu!!






Mwali wangu uvivu 🤣🤣🤣mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.
![]()