Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unaambiwa sio mzuri anaringia weupee, sasa km weupee rahisi nawee kuwa mweupee uringee,

Mtahaha na makoro koro, watu wanawakaaa orijinaleeeeeee.
Na hawavimbi wala nn.
The pain is real shougaaangu No way🤠🤠!!!

!
Nasubiria saa 4 nifurahii na nafsi yangu miee😍😍
 
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
Walahii mwamba anafauduuuuuuu 😋😋😋😋!!
Hongera sana mamaa masaptasapta!
 
Watu na rangiiiiii zaooo mjiniiiii,

Shangaziii ake trambaaaaaa, rangi ya mtumee, rangi ya dhahabuuu.

Haihitajiii torch, pakuwekwa panaonekanaa penyeweee.
😀😀😀Picha tu dear au sijui sikuhiz nakunywa maji mengi 🤣🤣
 
Watu na rangiiiiii zaooo mjiniiiii,

Shangaziii ake trambaaaaaa, rangi ya mtumee, rangi ya dhahabuuu.

Haihitajiii torch, pakuwekwa panaonekanaa penyeweee.
"Pa kuwekwa panaonekana penyewe"🤠🤠😁😁😁🙌🙌🙌

Mwisho wa kunuuu!!
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Wew Mwalimu kabisa ila nilichogundua Siri ya chapat nzuri ni kuacha ngano Kwa muda hata saa 1 baada ya kukanda
Nilipewa Kaz ya kuwapikia watu 8 chakula nikakanda ngano saa 11 nikarudi kulala nikachelewa kuamka sikuziroll na zimetoka lain ajabu
mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.

 
mie kupika hadi nitake, G nikiendaga kwake utasikia "ukiwepo km haupo sasa ndo nn aaah" namjibu nitue wee kaka mie sio hausigeli wako, na sijaja hapa kukupikiaa, kabla ya kukutana na mie alikua anakupikia nani? Hapo buzzy kuswama mitandaoni sina habari, akipika fastaa nshagoza makalio kulaa.

Mwali wangu uvivu 🤣🤣🤣
Ila kupika hobby aisee
 
Back
Top Bottom