Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasemajeee mtatafutaa kwa kujifichaaaaa,
hatutumii makorokoro yoyotee na tunawakaa balaaa, hatuitajiiii torch

Treinnaaa lazima tukakukalie kikaoooo Kabesaaa usitutanieeeeā˜ŗļøā˜ŗļøā˜ŗļøšŸ¤ šŸ¤ šŸ¤ !!

Nasubiria Usiku tyuuuu miee naweka alarm kabesaa hapa!
 
sasa wee si nakuona km lekcharaa wangu.
Hutaki kumuona Ex student wakooo??

Hiyo rangi yako kwangu ni kawaida sana, nshaizoea, nalala na kuamka nayoo, kiufupii imenigandaa.

Wee watakutaka walio na rangi tofauti na hiyoo.
Rangi ya pesa hii kijana😊
 
Aaliyyah Naomba 🤳 ulonenepaaa juzi nilikutag manyoya tyuuu jamaneee!!
Naomba uibles Jioni njema pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
 
huwezi amini Leo niliamka na mtu, acha nimcharue afu bila 7bu, yaan had anashangaa, mwenzenu sijui nikojee yaan nikiamka na mtu ntamtindinganya hata bila 7bu .
Itakuwa G hakuja weekend 🤣🤣🤣
 
Nasemaaaajeeeeee.. lazima tukakukalie kikaoooo na rangi yako inayokubeba hioooo!!
Unaambiwa sio mzuri anaringia weupee, sasa km weupee rahisi nawee kuwa mweupee uringee,

Mtahaha na makoro koro, watu wanawakaaa orijinaleeeeeee.
Na hawavimbi wala nn.
 
huwezi amini Leo niliamka na mtu, acha nimcharue afu bila 7bu, yaan had anashangaa, mwenzenu sijui nikojee yaan nikiamka na mtu ntamtindinganya hata bila 7bu .
Hebu nae atinginyikee nisogeze masaa kwanii sh ngapi banaaa! Naweka siti Kabisa hapaaaa

šŸ™‡šŸ™‡šŸ™‡šŸ¤ šŸ¤ 
 
Back
Top Bottom