Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
vp kijana unataka kuniibia mali zangu?Sijamuona kitambo
vp kijana unataka kuniibia mali zangu?Sijamuona kitambo
Hujui ofisi yake?😁Naomba lokeshen ya ofisi boss
Ninunulie mdogo wanguMjep 😂
Naomba nikununulie vocha boss wangu
Nyingi nazitoa wapi?Huyo anazo nyingii, ninunulie mie kwa niaba yake.
![]()
Nilitaka uhakika, ukute anazo nyingi huyo🤣🤣Hujui ofisi yake?😁
Kweli muulize vizuri😅Nilitaka uhakika, ukute anazo nyingi huyo🤣🤣
Nasubiri hapa anijibu kesho mapema niende akaniajiri, ujobless sio poa full kupiga miayo.Kweli muulize vizuri😅
Hawezi kujibu huyoNasubiri hapa anijibu kesho mapema niende akaniajiri, ujobless sio poa full kupiga miayo.
Af si umemisika Ankal🤗
Sio kawaida. Ujuevp kijana unataka kuniibia mali zangu?
Asipojibu nitamvamia tu pale ofisini kwake mapemaHawezi kujibu huyo
Nimekumiss pia ankal, kesho si ndio ijumaa eeh😊
Kawaida kijana😅Sio kawaida. Ujue
kazi gani??Wana selfika kama una kijana mwaminifu na anaweza kufanya kazi vizuri yupo tu nyumbani nicheki pm nahitaji vijana kama wa 7 hivi hawa wawe dar na kesho waje ofisini kuanza kazi tutawapa trending kwaza ambayo ndio kesho lakini pia nahitaji vijana walipo tanga wawe wengi kidogo hawa kazi yao itaanza mwezi uhuu kuhusu mshahara tuna lipa kulingana na dodos ambapo huwa zina badirika sisi hatuna mshahara tunalipa wages lakini pia mtu huyo awe na nssf kadi na TIN number kutoka TRA
Please hawe mwaminifu na kazi zetu mara nying ni nje ya mkoa please hawe mwaminifu sito pendezwa nikipata kijana ajae anisumbue au mtu unampa trening af anakimbia mitini nawasilisha kwenu
Umeanza lini kutangaza kazi?Tangazo hilo uwenda nimekosea kuandika ila please nisaidie kama kuna vijana kesho waje ofisn izo nssf watashughulikia wakiwa wanapewa training nipo nje muda
Majobless tumekuelewa mbona.Tangazo hilo uwenda nimekosea kuandika ila please nisaidie kama kuna vijana kesho waje ofisn izo nssf watashughulikia wakiwa wanapewa training nipo nje muda
Sawa tutaona utaweza ngapi😅Asipojibu nitamvamia tu pale ofisini kwake mapema
Ndio na nina kiu balaaaa😋🥂
Nishajibu uko chini ata kama ni mwanafunzi wa chuo ila awe yupo likizo location REGENT BUSINESS PARKkazi gani??
Ofsa mwajiri huyo ujueUmeanza lini kutangaza kazi?
Kumbe ni mtu mzito sana😁Ofsa mwajiri huyo ujue