cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Yai la kurostiwa hivyoo, mie siliwezi kwa kweli.Late dinnerView attachment 2686215
Yai la kurostiwa hivyoo, mie siliwezi kwa kweli.Late dinnerView attachment 2686215
Ni tamu ila linakinai harakaYai la kurostiwa hivyoo, mie siliwezi kwa kweli.
Ntakuonyesha kasufuria kangu ka ugali kesho....Kwamba unapika ugali mdogo??![]()
Mie niliwahi jaribu, nlishindwaa kwa kweliNi tamu ila linakinai haraka
Wallah unioneshee hiyo kesho, awee ugali unapika km unga unakopaa bhanaa, mwenyejii acha hizo.Ntakuonyesha kasufuria kangu ka ugali kesho....
Budget ni tight 😅Wallah unioneshee hiyo kesho, awee ugali unapika km unga unakopaa bhanaa, mwenyejii acha hizo.
Nyie hampendi mayai eehMie niliwahi jaribu, nlishindwaa kwa kweli
Ni tamu ila linakinai haraka
Nalo pia ni zuriNyie hampendi mayai eeh
Liliochemshwaa halafu liungwe na nyanya je ?
Tumshukuru MunguYAKOBO 4:7-8
⁷ Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.
⁸ Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.
HILO NDILO NENO LA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona hii sio camera ya aifon kijanaGood morning selfika members View attachment 2686412
Iphone kwa ajili ya picha natumia simu mbili mkuu🤣Mbona hii sio camera ya aifon kijana
Ulitunywesha chai Ile siku eeh
Asa kwani hiyo ni video?😅Iphone kwa ajili ya picha natumia simu mbili mkuu🤣
Hivi wewe jamaa huwa unashibaga kweli?View attachment 2686135
Mabachela wenzangu karibuni