Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,769
- 54,903
Achana na mambo ya kizungu wenzako kila baada ya mlo mkuu wanakuwa na vi-snack vya hapa na pale mixer tea au coffee na vijuisi kula ushibeNa usiku utakiw kula sana ukitaka nile mpaka nivimbiwe kuwe na ugali mrenda dagaa za kukaanga au nyama Choma au kukaanga na kachumbali iwe na pilipili nyingi