Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Ahaahah ngoja nipige picha na iPhone uoneAsa kwani hiyo ni video?😅
Ahaahah ngoja nipige picha na iPhone uoneAsa kwani hiyo ni video?😅
🤣🤣🤣Iphone kwa ajili ya picha natumia simu mbili mkuu🤣
Kabisa mkuu mpaka nabakiza foodHivi wewe jamaa huwa unashibaga kweli?
Una matatizo ya kiafya hiko ni chakula cha dogo wa miaka 5Kabisa mkuu mpaka nabakiza food
According to mama alisema tangu utotoni ulaji wangu ndio ulikuwa uhoUna matatizo ya kiafya hiko ni chakula cha dogo wa miaka 5
Mbona viatu vimezidi mguu mkuu utani tu
Sawa kama ni mambo ya kifamilia ngoja nikae kimya mzee wa diagnosis 😅According to mama alisema tangu utotoni ulaji wangu ndio ulikuwa uho
Na usiku utakiw kula sana ukitaka nile mpaka nivimbiwe kuwe na ugali mrenda dagaa za kukaanga au nyama Choma au kukaanga na kachumbali iwe na pilipili nyingiSawa kama ni mambo ya kifamilia ngoja nikae kimya mzee wa diagnosis 😅
Ushafika kijiweni unaazima ya mshkaji sio😂Ahaahah ngoja nipige picha na iPhone uone
Ahaha washikaji wote wanatumia Infinix na tecnUshafika kijiweni unaazima ya mshkaji sio😂
🤣🤣 Snitch weweAhaha washikaji wote wanatumia Infinix na tecn
Iyo hapo iPhone yako umefurahi🤣🤣 Snitch wewe
Yeah mara moja sio mbayaNalo pia ni zuri
Mayai yote ni mazuri ila ukila kila siku yanakinai
Chips na ugali kweli havikinaiYeah mara moja sio mbaya
Ila chipsi hazikinaishi.


Achana na mambo ya kizungu wenzako kila baada ya mlo mkuu wanakuwa na vi-snack vya hapa na pale mixer tea au coffee na vijuisi kula ushibeNa usiku utakiw kula sana ukitaka nile mpaka nivimbiwe kuwe na ugali mrenda dagaa za kukaanga au nyama Choma au kukaanga na kachumbali iwe na pilipili nyingi
Inaumiza macho bana🤣Iyo hapo iPhone yako umefurahi
Yeah chipsi unaweza kula mchana na usiku na usihisi kitu .Chips na ugali kweli havikinai
Ila wali na tambi sasa![]()
Ngoja sasa nipige na tecno ya mshikaji 🤣Inaumiza macho bana🤣
Shida nikipakua kingi kinabaki labda nikianza gymAchana na mambo ya kizungu wenzako kila baada ya mlo mkuu wanakuwa na vi-snack vya hapa na pale mixer tea au coffee na vijuisi kula ushibe