Kigi Makasi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,309
- 2,568
yaan mie ndo nakutana na visangaa vya kudharauliwa, hadi najisemeaga kwan sifananii au vipii?



siku nimeshuka Dodoma Airport mpaka natoka nje TAXI hata hawanisumbui yaani..yaan mie ndo nakutana na visangaa vya kudharauliwa, hadi najisemeaga kwan sifananii au vipii?



siku nimeshuka Dodoma Airport mpaka natoka nje TAXI hata hawanisumbui yaani..Sasa TCRA si ni karibu na hapaa maeneo jamani?? Afu nshazoea nikiwaga maeneo ya hapa huwa nasema TCRA,mbona wengine tulipata kazi bila cheti, na hadi leo vyeti sijawai tumia kwenye ajira.. Mala ya pili wanaiambia upo TCRA nkajua ndio shavuuu nije nione ma mitambo
siku nimeshuka Dodoma Airport mpaka natoka nje TAXI hata hawanisumbui yaani..




nimechekaa balaaa.😅😅😅 upo magufuli si ndioSasa TCRA si ni karibu na hapaa maeneo jamani?? Afu nshazoea nikiwaga maeneo ya hapa huwa nasema TCRA,
Hahahaa🤣 inaonekana mzeiya kibuyu kilijaa sio poamod wakuda kinoma... ma mod ya humu ya watu wao, hata waandike mavi mavi huoni nyuzi zao zikiguswaaa.. Jamirex mbali kidogo na mlimani city .. jamaa hadi mda huu sijamuona itakuwa ana hangover ya pussycat 😅😅
Kuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
😅😅😅😅 hadi sasa hivi yupo kimyaaa.. ujue kapatwaaa na utamu wa pussycat... banaaa mzabzab bado umelewaaa nini.. au kamtoa mtoto out hapo Woolworths... achukue na viwalo baada ya kupewaa vitu adimu kabisaaaHahahaa🤣 inaonekana mzeiya kibuyu kilijaa sio poa
Mods wakuda sana wakaona labda tunazitangazia biashara hotel za karibu na Mlimani City daah! 😅
Ila natumaini mwanetu atakuwa alipata hotel nzuri ya kugegedea mrembo wake
pale magufuli jion magari yanapaki kupick walimbwende..upo magufuli si ndio
Pia awaweke juani hili viuongo vikoleeKuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
Waoshe watoe utumbo na magamba ya nje kama wanayo kata vipande unavyotaka
Mm nawekaga ndimu chumvi kitunguu Swaumu na tangawiz lakin tangawiz si lazimq mm Huwa napenda kale kaladha lake
sambaza vizuri kwenye samaki wako ukimaliza
Washa mkaa watoe samaki kwenye bakuli weka kwenye sufuria palia kama wali Kwa moto wa wastani
Njia ya pili
Waoshe waweke viungo Kisha wabandike jikoni acha maji yake Yale yakauke ,Usiweke maji wakishakauka unapalia kama wali had wakauke kabisa
magufuli, hapa survey kama unaenda goba, na mlimani kushoto kwa huu mgahawa hapa chini ukikunja kulia 😅😅😅😅 tafrani tupu..pale magufuli jion magari yanapaki kupick walimbwende..
Asante sana Aaliyyah umeeleza vizuri nitatumia hizo njia 2 za mwisho ni rahisi 🙏🙏🙏Kuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
Waoshe watoe utumbo na magamba ya nje kama wanayo kata vipande unavyotaka
Mm nawekaga ndimu chumvi kitunguu Swaumu na tangawiz lakin tangawiz si lazimq mm Huwa napenda kale kaladha lake
sambaza vizuri kwenye samaki wako ukimaliza
Washa mkaa watoe samaki kwenye bakuli weka kwenye sufuria palia kama wali Kwa moto wa wastani
Njia ya pili
Waoshe waweke viungo Kisha wabandike jikoni acha maji yake Yale yakauke ,Usiweke maji wakishakauka unapalia kama wali had wakauke kabisa
Daah! Asante Mwachiluwi sema sipo nyumbani narudi jioni. Wewe jamaa kama Mzaramo aisee hizi mambo umejifunza wapi Mnyaki? 😅Pia awaweke juani hili viuongo vikolee
Madam umemisika sana hapaBoss km boss🤭😅
Samaki hawana uvumilivu Sana km nyama wasije wakaozana hiv sio mzoefu na viungo ni rahis kukolea sababu ni lain muhimu wakat wa kukata vipande km ni Wakubwa awachane kidogo viungo viingie ndani kama hiviPia awaweke juani hili viuongo vikolee
Napenda kupika since niko mdogoDaah! Asante Mwachiluwi sema sipo nyumbani narudi jioni. Wewe jamaa kama Mzaramo aisee hizi mambo umejifunza wapi Mnyaki? 😅
Ila pia kukausha maji maji ukimkaanga kama ajakauka vzr maji ngozi ile ya juu inatanuka na kuondoa mvuto wa chakulaSamaki hawana uvumilivu Sana km nyama wasije wakaozana hiv sio mzoefu na viungo ni rahis kukolea sababu ni lain muhimu wakat wa kukata vipande km ni Wakubwa awachane kidogo viungo viingie ndani kama hivi
Atakuwa amefinyiwa kwa ndani chezea kitu kama kinafyonzwa kwa ndani na pussy. Wakitoka Woolworths wanaingia Street Soul si unajua ile kibunda kikituna 'babe sema unataka nini'😅😅😅😅 hadi sasa hivi yupo kimyaaa.. ujue kapatwaaa na utamu wa pussycat... banaaa mzabzab bado umelewaaa nini.. au kamtoa mtoto out hapo Woolworths... achukue na viwalo baada ya kupewaa vitu adimu kabisaaa
Hatari saaana..., siku ntapaki pale nje magufuli nikimsubiri cocasticmagufuli, hapa survey kama unaenda goba, na mlimani kushoto kwa huu mgahawa hapa chini ukikunja kuliatafrani tupu..
😅😅😅 wakitoka hapo wanaingia hapo samaki samaki kula mchesho wa pweza matataaa... kurudisha damu.. ndio maana mtaalamu alitaka ya karibu na hapo 😅😅Atakuwa amefinyiwa kwa ndani chezea kitu kama kinafyonzwa kwa ndani na pussy. Wakitoka woolworths wanaingia Street Soul si unajua ile kibunda kikituna 'babe sema unataka nini'