Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mod wakuda kinoma... ma mod ya humu ya watu wao, hata waandike mavi mavi huoni nyuzi zao zikiguswaaa.. Jamirex mbali kidogo na mlimani city .. jamaa hadi mda huu sijamuona itakuwa ana hangover ya pussycat 😅😅
Hahahaa🤣 inaonekana mzeiya kibuyu kilijaa sio poa

Mods wakuda sana wakaona labda tunazitangazia biashara hotel za karibu na Mlimani City daah! 😅

Ila natumaini mwanetu atakuwa alipata hotel nzuri ya kugegedea mrembo wake
 
Jana bimkubwa kanitembelea kaniletea samaki wabichi. Sasa nataka jioni nikirudi niwabanike ndo niwapike hebu nisaidieni mchakato wa kubanika nafanyeje

Cc; Aaliyyah Dr Lizzy Tinsley
Kuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
Waoshe watoe utumbo na magamba ya nje kama wanayo kata vipande unavyotaka

Mm nawekaga ndimu chumvi kitunguu Swaumu na tangawiz lakin tangawiz si lazimq mm Huwa napenda kale kaladha lake

sambaza vizuri kwenye samaki wako ukimaliza

Washa mkaa watoe samaki kwenye bakuli weka kwenye sufuria palia kama wali Kwa moto wa wastani
Njia ya pili
Waoshe waweke viungo Kisha wabandike jikoni acha maji yake Yale yakauke ,Usiweke maji wakishakauka unapalia kama wali had wakauke kabisa
 
Hahahaa🤣 inaonekana mzeiya kibuyu kilijaa sio poa

Mods wakuda sana wakaona labda tunazitangazia biashara hotel za karibu na Mlimani City daah! 😅

Ila natumaini mwanetu atakuwa alipata hotel nzuri ya kugegedea mrembo wake
😅😅😅😅 hadi sasa hivi yupo kimyaaa.. ujue kapatwaaa na utamu wa pussycat... banaaa mzabzab bado umelewaaa nini.. au kamtoa mtoto out hapo Woolworths... achukue na viwalo baada ya kupewaa vitu adimu kabisaaa
 
Kuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
Waoshe watoe utumbo na magamba ya nje kama wanayo kata vipande unavyotaka

Mm nawekaga ndimu chumvi kitunguu Swaumu na tangawiz lakin tangawiz si lazimq mm Huwa napenda kale kaladha lake

sambaza vizuri kwenye samaki wako ukimaliza

Washa mkaa watoe samaki kwenye bakuli weka kwenye sufuria palia kama wali Kwa moto wa wastani
Njia ya pili
Waoshe waweke viungo Kisha wabandike jikoni acha maji yake Yale yakauke ,Usiweke maji wakishakauka unapalia kama wali had wakauke kabisa
Pia awaweke juani hili viuongo vikolee
 
Kuna kubanika kwenye wavu hii wajuzi watakuja sijawah jaribu
Waoshe watoe utumbo na magamba ya nje kama wanayo kata vipande unavyotaka

Mm nawekaga ndimu chumvi kitunguu Swaumu na tangawiz lakin tangawiz si lazimq mm Huwa napenda kale kaladha lake

sambaza vizuri kwenye samaki wako ukimaliza

Washa mkaa watoe samaki kwenye bakuli weka kwenye sufuria palia kama wali Kwa moto wa wastani
Njia ya pili
Waoshe waweke viungo Kisha wabandike jikoni acha maji yake Yale yakauke ,Usiweke maji wakishakauka unapalia kama wali had wakauke kabisa
Asante sana Aaliyyah umeeleza vizuri nitatumia hizo njia 2 za mwisho ni rahisi 🙏🙏🙏
 
Pia awaweke juani hili viuongo vikolee
Samaki hawana uvumilivu Sana km nyama wasije wakaozana hiv sio mzoefu na viungo ni rahis kukolea sababu ni lain muhimu wakat wa kukata vipande km ni Wakubwa awachane kidogo viungo viingie ndani kama hivi
 

Attachments

  • Screenshot_2023_0710_120403.png
    Screenshot_2023_0710_120403.png
    155.4 KB · Views: 7
Samaki hawana uvumilivu Sana km nyama wasije wakaozana hiv sio mzoefu na viungo ni rahis kukolea sababu ni lain muhimu wakat wa kukata vipande km ni Wakubwa awachane kidogo viungo viingie ndani kama hivi
Ila pia kukausha maji maji ukimkaanga kama ajakauka vzr maji ngozi ile ya juu inatanuka na kuondoa mvuto wa chakula
 
😅😅😅😅 hadi sasa hivi yupo kimyaaa.. ujue kapatwaaa na utamu wa pussycat... banaaa mzabzab bado umelewaaa nini.. au kamtoa mtoto out hapo Woolworths... achukue na viwalo baada ya kupewaa vitu adimu kabisaaa
Atakuwa amefinyiwa kwa ndani chezea kitu kama kinafyonzwa kwa ndani na pussy. Wakitoka Woolworths wanaingia Street Soul si unajua ile kibunda kikituna 'babe sema unataka nini'
 
Atakuwa amefinyiwa kwa ndani chezea kitu kama kinafyonzwa kwa ndani na pussy. Wakitoka woolworths wanaingia Street Soul si unajua ile kibunda kikituna 'babe sema unataka nini'
😅😅😅 wakitoka hapo wanaingia hapo samaki samaki kula mchesho wa pweza matataaa... kurudisha damu.. ndio maana mtaalamu alitaka ya karibu na hapo 😅😅
 
Back
Top Bottom