Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Muongeezee simba mbili isizid kidogo ikizid samaki alikiSawa shukrani karibu Tena njia hizo mbili wanakuwa watamu Sana viungo ni muhimu Sana ndo vinaleta ladha hasa chumvi na ndimu/limao
Muongeezee simba mbili isizid kidogo ikizid samaki alikiSawa shukrani karibu Tena njia hizo mbili wanakuwa watamu Sana viungo ni muhimu Sana ndo vinaleta ladha hasa chumvi na ndimu/limao
Hahah mgeni huyu ataharibu😀😀😀Muongeezee simba mbili isizid kidogo ikizid samaki aliki
Jioni wakati nafanya mazoezi ya kukimbia nitakucheki 😅😅Ndyooo![]()
Huenda sitakuwepooo,Jioni wakati nafanya mazoezi ya kukimbia nitakucheki![]()





Af nilijua ana kaanga kumbe anabanika awake naembe mbichi aikatie humohumo af apalie kama anavyo palia wali Mzee wa kupambania umesikiaHahah mgeni huyu ataharibu😀😀😀
😲😲😲😲😲... hayaaa kila la kheriHuenda sitakuwepooo,
Ntakua maghetton nauliliaaaa.
nikinunua gari ntakuja kupaki gari hapoNdyooo![]()

, sup sup mpaka nimefanikiwa thawaeee😀😀😀UtamchanganyaAf nilijua ana kaanga kumbe anabanika awake naembe mbichi aikatie humohumo af apalie kama anavyo palia wali Mzee wa kupambania umesikia
nikinunua gari ntakuja kupaki gari hapo, sup sup mpaka nimefanikiwa thawaeee




hutonikutaaa mie.utakuwa unauishiii siyohutonikutaaa mie.
Hii ndio week yangu ya mwisho kuwa mazingira haya.utakuwa unauishiii siyo
September conference hautokuwepo? Au namm nishaanza kukuchukulia poaHii ndio week yangu ya mwisho kuwa mazingira haya.


September conference sio shida zangu kabisaa.September conference hautokuwepo? Au namm nishaanza kukuchukulia poa![]()




Hivi ulisema unataka id ya kupatia ruhusa ya kubakia mjini eeh, nichek geto basi nikuprintieSeptember conference sio shida zangu kabisaa.
Ntakuja Dec kwa Graduu bas. Imeisha hiyooooo
I'd?? Wee kuwa serious basHivi ulisema unataka id ya kupatia ruhusa ya kubakia mjini eeh, nichek geto basi nikuprintie




Nipo hapa woolworth nachagua boxer mpya ya kuvaa mrembo akija apagawe. Dah boxer tatu 75k...hawa hatari.😅😅😅😅 hadi sasa hivi yupo kimyaaa.. ujue kapatwaaa na utamu wa pussycat... banaaa mzabzab bado umelewaaa nini.. au kamtoa mtoto out hapo Woolworths... achukue na viwalo baada ya kupewaa vitu adimu kabisaaa
Jamirex ndio wapi mkuu?Mke kasafiri mwanawane tabu tupu aisee 😅
🤣🤣🤣 yule demu wa mzabzab atakuwa ameamka na hangover leo. Nilishangaa mods waliufuta ule uzi nilitaka akamlale pale Jamirex Hotel