mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,807
mimi ni mshamba wa kuiomba😂Amekwishaaa🙆♂️
mimi ni mshamba wa kuiomba😂Amekwishaaa🙆♂️
Kwani atakubalii sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nnaloo sasa nipoo tyuuh, nasubiri zawadi zangu.Nipo sana tuuuu shooo
Niambie
Hebu semaa kweliii, kablaa sijakuachaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mjumbe tu ndugu sina u Lectuler wowote amekuingiza chaka[emoji1787]
😂😂😂😂Serengeti hiyo bhanaMbona kama povu la Apple Punch?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbukaa kituu, kuna mtu alikua ananionaa tyuuh, sasa kumbe alikua anahisi mie ni kilazaa,Wapi huko mm ndo nimemaliza fom foo nikasome[emoji3][emoji3][emoji3]
Watu wanadharau sana aisee😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbukaa kituu, kuna mtu alikua ananionaa tyuuh, sasa kumbe alikua anahisi mie ni kilazaa,
Anaambiwa kuhusu Elimu yangu, anakataa ndo kwanza anasema "huyo mtu mwenyewe anaonekanaa alienda diploma kwa div 3 ya 25, Degree sio matako kwamba kila mtu anayo"
Nikajaa ambiwa, sasa siku hiyo tumekaa wote ananiulizaa mie, nikamjibu ndyo niko Degree, anakataa anasemaje "niletee cheti chako cha 4m 4 nikiona una cut points za kwenda advance nakupa 50k cash" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nkamuambia fresh, siku ya 2 nikamuonesha results slip ya 4m 6, alichachawaa balaaa, afu kibabee nkamuambiaa sihitaji hata senti yako, kacheze unakochezaga, tena types na zako sio mie..
Shangaziii umenichekesha, nimekumbukaa hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan sijui wakojee, wana mkadiria mtu kwa muonekano wa nje.Watu wanadharau sana aisee[emoji23][emoji23]
Washenzi sanaYaan sijui wakojee, wana mkadiria mtu kwa muonekano wa nje.
umenikumbusha enzi hizoo namfukuzia mtoto wa advance me nipo chuo, kwenye story story akaniuliza nasoma course gan UD? nikamtajia, akasema weeee! hiyo wanaenda wenye one zao! nikabakia nacheka tu, nilivyotoka pale ikabidi nijikague HIVI KUMBE SIJAKAA KI-ONE ONE EEHYaan sijui wakojee, wana mkadiria mtu kwa muonekano wa nje.
Sawa shoooNnaloo sasa nipoo tyuuh, nasubiri zawadi zangu.
Boss km boss🤭😅Mimi ni mjumbe tu ndugu sina u Lectuler wowote amekuingiza chaka🤣
Weyeee katotooo upo wapi sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbukaa kituu, kuna mtu alikua ananionaa tyuuh, sasa kumbe alikua anahisi mie ni kilazaa,
Anaambiwa kuhusu Elimu yangu, anakataa ndo kwanza anasema "huyo mtu mwenyewe anaonekanaa alienda diploma kwa div 3 ya 25, Degree sio matako kwamba kila mtu anayo"
Nikajaa ambiwa, sasa siku hiyo tumekaa wote ananiulizaa mie, nikamjibu ndyo niko Degree, anakataa anasemaje "niletee cheti chako cha 4m 4 nikiona una cut points za kwenda advance nakupa 50k cash" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nkamuambia fresh, siku ya 2 nikamuonesha results slip ya 4m 6, alichachawaa balaaa, afu kibabee nkamuambiaa sihitaji hata senti yako, kacheze unakochezaga, tena types na zako sio mie..
Shangaziii umenichekesha, nimekumbukaa hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo hapa TCRA tower.Weyeee katotooo upo wapi sasa hivi
ndio unafanya kazi hapo ?Nipo hapa TCRA tower.
Wanaboa mnoo shangaziii.Washenzi sana