Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

umuhimu wa kusamehe

-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.

-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.

-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.

-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.

-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea

-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.

-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.

-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.

Neno la Mwisho:

Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
Nimevukaa hizii level wa kunyumbaaaa,
Yaan kwa kifupiii mie ni Hero, mapambano yote niliyowahi pigana nimeshindaaaaa.

JF iko kiganjani kwanguu, hainistui wala haifurukutiii..
 
Umenena kweli Mkuu.
Kusameheana ni muhimu.

Mimi sina baya na mtu
Ila wote walionikosea nilishawasamehe,,wengine hata kabla ya kuomba msamaha

Ila natupiaga kwenye ignore list ili tusije tukasumbuana tena shetani apate nafasi.
Maturity 🤩
 
Nimevukaa hizii level wa kunyumbaaaa,
Yaan kwa kifupiii mie ni Hero, mapambano yote niliyowahi pigana nimeshindaaaaa.

JF iko kiganjani kwanguu, hainistui wala haifurukutiii..
Wewe mshali sana🤣🤣 unaweza mchamba hata mchungaji madhabahuni.
 
umuhimu wa kusamehe

-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.

-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.

-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.

-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.

-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea

-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.

-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.

-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.

Neno la Mwisho:

Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
Aminaaa kubwaaaa!!!!

Asante sana kwa hii nondo barikiwa sana!
 
Ulipendezaa dear afu shavu dodo hadi rahaaa!! Na vidole vimejaaa bila shaka hata kule kumejaaa kumenonaa kama vidolee hongeraa sanaa mamaa lipsssss 💋!!

Hakika Jioni yangu inaenda kuwa barreeeeeeeeddaaa kabesaaa
Wabheja sana!!
Wapi huko kumenonaaaaaa🤣
 
Back
Top Bottom