Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,021
- 177,332
Badae jioniii uduguNa ku 7bishaa mda ganiii?? Usijizime dataa wee![]()
Badae jioniii uduguNa ku 7bishaa mda ganiii?? Usijizime dataa wee![]()
Yeah mnahisi ni marafiki kumbe hujui analokuwazia mwingine 😂😂Tena Shida kubwa sana!!
Jf sio ya kuichukulia siriaz Kabisa..
Sie hebu tuendelee kuselfika zeityyuuu !!
Usilete maneno, nipe link tu mama NyakibooHuo ni mfano tu mkuu😁😁😁🤠🤠 sasa hayo maneno ya kumkandia Tin sasa hahahaaa acha nicheke tu
Hahahaaa.... tena wewe ulivo na moyo mdogo sijui ungefanyeje hata sema hio ni ya miezi michache nyuma!Watu wana wivu hatareeee
Cute Wife ukuje .
Humu watu wanapenda kusema
Kweli wenzao ni vile ndo tushapaenda huu mtandao .
Tuna la kufanya basi
Tupo kuondoa stress hapa .
Mie siwezi kabisa manenoHahahaaa.... tena wewe ulivo na moyo mdogo sijui ungefanyeje hata sema hio ni ya miezi michache nyuma!
Mama Nyakiboo🤠🤠😁😁😁!!Usilete maneno, nipe link tu mama Nyakiboo
😂😂Nikaja speed nifurahie mema ya nchi kumbe ni mfano😂
Jamani punguzeni mifano fanyeni kweli, tupo na upwiru wetu hapa😂
Mie humu nishazoeaa mbonaMie siwezi kabisa maneno
Waniache kabisa 😂😂😂
Aisee pole sana dear ..
Mtandao mtamu huu , lakini majungu sasa 😂😂
Utanipaaaaa😋😋😂😂
Toa location , chap
Aisee una moyo , siwezi kabisa kwanza hata hiyo nguvu sina .Mie humu nishazoeaa mbona
Nishasemwa sanaaa chambwa sanaa anzishiwa thread sanaaa humuu tangu enzi hizoooo!
Hivi hata havinishtui kabesaaa uvolalamika ndio nikakumbuka hahahaaa!!
Usichukulie jf siriazz kabisaa mbona utaenjoy!!
Mi mwenyewe maneno hata siwezi mbona ni ile unanyamazaaaa zako mtu anakuchukulia oyaoya!Mie siwezi kabisa maneno
Waniache kabisa 😂😂😂
Aisee pole sana dear ..
Mtandao mtamu huu , lakini majungu sasa 😂😂
Well said shemumuhimu wa kusamehe
-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.
-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.
-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.
-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.
-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea
-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.
-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.
-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.
Neno la Mwisho:
Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
Why notUtanipaaaaa😋😋
Nitakukumbushaa saa 12.Badae jioniii udugu
Duh ila kwako wamezidiMi mwenyewe maneno hata siwezi mbona ni ile unanyamazaaaa zako mtu anakuchukulia oyaoya!
The pain is real!!Aisee una moyo , siwezi kabisa kwanza hata hiyo nguvu sina .
Mie ukinichokoza labda niwe nimevurugwa ndo nitaongea ,
Siku nyingine nabaki tu kimya .
Watu waache chuki anyway , mtu humjui , unafaidika nini .
Poapoaaa!!Nitakukumbushaa saa 12.
Kabisa , tuyaache yapiteThe pain is real!!
Tuachane naoo!!🚮🚮
Tuendelee kuselfika zeityyuuu lol!! Hauna ka selfii hapo Jioni yangu iende vizuri 🤔🤔???
Umenena kweli Mkuu.umuhimu wa kusamehe
-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.
-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.
-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.
-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.
-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea
-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.
-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.
-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.
Neno la Mwisho:
Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic