Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena Shida kubwa sana!!
Jf sio ya kuichukulia siriaz Kabisa..

Sie hebu tuendelee kuselfika zeityyuuu !!
Yeah mnahisi ni marafiki kumbe hujui analokuwazia mwingine 😂😂

Watu wakavu sana , duniani hapa jiamini mwenyewe tu .
 
Hahahaaa.... tena wewe ulivo na moyo mdogo sijui ungefanyeje hata sema hio ni ya miezi michache nyuma!
Mie siwezi kabisa maneno
Waniache kabisa 😂😂😂

Aisee pole sana dear ..
Mtandao mtamu huu , lakini majungu sasa 😂😂
 
Usilete maneno, nipe link tu mama Nyakiboo
Mama Nyakiboo🤠🤠😁😁😁!!

Sema Ukiona mtu anakuzungumzia sana au kila mara kuna ulipomshika hapumui vizuri 🤠🤠😁!!

Hebuu selfikeni mnibless jamaneee nimemiss selfii zeinyuuu mimii kakimeo kangu juzi jr alikadondisha kakafaa kupeleka kwa fundi kafuta kila kitu Hebu fanyeni nisevu upya picha zenuu miee🤠🤠!!
 
Mie siwezi kabisa maneno
Waniache kabisa 😂😂😂

Aisee pole sana dear ..
Mtandao mtamu huu , lakini majungu sasa 😂😂
Mie humu nishazoeaa mbona
Nishasemwa sanaaa chambwa sanaa anzishiwa thread sanaaa humuu tangu enzi hizoooo!
Hivi hata havinishtui kabesaaa uvolalamika ndio nikakumbuka hahahaaa!!

Usichukulie jf siriazz kabisaa mbona utaenjoy!!
 
umuhimu wa kusamehe

-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.

-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.

-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.

-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.

-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea

-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.

-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.

-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.

Neno la Mwisho:

Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
 
Mie humu nishazoeaa mbona
Nishasemwa sanaaa chambwa sanaa anzishiwa thread sanaaa humuu tangu enzi hizoooo!
Hivi hata havinishtui kabesaaa uvolalamika ndio nikakumbuka hahahaaa!!

Usichukulie jf siriazz kabisaa mbona utaenjoy!!
Aisee una moyo , siwezi kabisa kwanza hata hiyo nguvu sina .

Mie ukinichokoza labda niwe nimevurugwa ndo nitaongea ,
Siku nyingine nabaki tu kimya .

Watu waache chuki anyway , mtu humjui , unafaidika nini .
 
umuhimu wa kusamehe

-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.

-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.

-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.

-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.

-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea

-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.

-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.

-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.

Neno la Mwisho:

Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
Well said shem
Kusamehe ndio kanuni bora
Kama vile Mungu anavyotusamehe
 
  • Thanks
Reactions: 511
Aisee una moyo , siwezi kabisa kwanza hata hiyo nguvu sina .

Mie ukinichokoza labda niwe nimevurugwa ndo nitaongea ,
Siku nyingine nabaki tu kimya .

Watu waache chuki anyway , mtu humjui , unafaidika nini .
The pain is real!!

Tuachane naoo!!🚮🚮

Tuendelee kuselfika zeityyuuu lol!! Hauna ka selfii hapo Jioni yangu iende vizuri 🤔🤔???
 
umuhimu wa kusamehe

-Hukuweka huru
Kutokusamehe kunakufanya ujisikie vibaya na kuwa kama mfungwa. Jambo baya ni pale utakapomwona yule aliyekukosea anafuraha na anaendelea na maisha yake bila tatizo.

-Hukuwezesha kuendelea mbele na maisha yako
Kuna mambo mengi mazuri na muhimu zaidi maishani kuliko chuki na hasira.

-Kulinda afya yako
Uchungu na maumivu uliyoyapata baada ya kukosewa ni dhahiri kuwa yanaweza kusababisha matatizo kama vile msongo wa mawazo.

-Huondoa hasira na chuki
Ni dhahiri chuki na hasira huingia nafsini na moyoni mwako mara mtu anapokukosea. Ukiwa na chuki na hasira moyoni au nafsini mwako ni wazi kuwa utapunguza tija katika yale unayoyafanya.

-Utulivu wa akili
Nakushauri ipe akili yako nafasi ya kutulia kwa njia ya kusamehe waliokukosea

-Ni aina bora ya kisasi
Je unafikiri kulipa kisasi ni kufanya baya kama ulilofanyiwa? Kama jibu ni ndiyo, unakosea kwa kiasi kikubwa. Ni dhahiri kisasi kinachouma sana ni pale mtu anapokufanyia jambo baya lakini wewe unamfanyia jema.

-Kuonyesha upendo
Kuna wakati mtu aliyekukosea anaumia kutokana na kosa alilolifanya lakini anashindwa kuja kuomba msamaha. Lakini kumsamehe kunadhirisha upendo ulio nao kwake hata kama hajaja kukuomba msamaha.

-Kiashiria cha ukomavu
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusamehe kama hana ukomavu wa kiakili na hekima na busara za kutosha. Watu wachanga hupenda kubeba na kutunza chuki na hasira; wao ni heri kubaki na maumivu hata maisha yao yote kuliko kuyaachilia ili wawe huru.

Neno la Mwisho:

Ni dhahiri kusamehe ni jambo gumu; lakini ni muhimu hasa kwako wewe uliyekosewa. Kwa kusamehe kutakufungulia ukurasa mwingine mpya wa maisha na kuruhusu majeraha kupona. Kwa njia hii utafanya maisha yako kuwa yenye tija, furaha na amani zaidi. Tinsley, Antonnia, Saint Anne cocastic
Umenena kweli Mkuu.
Kusameheana ni muhimu.

Mimi sina baya na mtu
Ila wote walionikosea nilishawasamehe,,wengine hata kabla ya kuomba msamaha,hata ambao walionikosea na hawakuniomba msamaha nishawasamehe maana kusamehe si hiari,ni wajibu.

Ila natupiaga kwenye ignore list ili tusije tukasumbuana tena shetani apate nafasi.
 
Back
Top Bottom