Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.

Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.


Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
 
Duh pole pia aisee bado wanakusema tu .

Yaani hao ni kuignore tu
Ukiongea ni kazi bure .

Vipi wazima huko ??
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
 
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.

Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.


Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
Bado Watoto wa akili/ experience Mungu awarehemu bure tu!
 
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani 😂😂
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
 
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani 😂😂
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
Nikaja speed nifurahie mema ya nchi kumbe ni mfano😂

Jamani punguzeni mifano fanyeni kweli, tupo na upwiru wetu hapa😂
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa !!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii !!
Nisogezeee huu ubuyuu, mbna sina taarifa yake. Fanyaa unifikie km ulivyooo.
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
Iko wapi hiyo ingine

Huo ni mfano ni balaa 😂😂😂
Duh mbona balaa basi

Ila watu wana shida sana humu 😂😂

Sasa kama kampenda kwa nini achafue wengine duh wivu huo jamani .
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
Watu wana wivu hatareeee
Cute Wife ukuje .

Humu watu wanapenda kusema
Kweli wenzao ni vile ndo tushapaenda huu mtandao .

Tuna la kufanya basi
Tupo kuondoa stress hapa .
 
Back
Top Bottom