Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!
Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.
Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
!!


