Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna watu hata Kota wanazisikia redioni
Wanakaa vijumba havieleweki kodi mgogoro,wengine huishia kuingia kwenye njia zisizo halali ili waipate.
Kuna watu wanadangia kodi,,,
Kuna grp moja nipo,dada anatafuta namna ya kwenda kutapeli mtu ili apate kodi.

Ukipata Neema ya kuishi Kota mshukuru Mungu.

Mimi natamani sehemu ninakofanya kazi kungekuwa na kota maana si kwa kuchoka huku ninakochoka kwenda na kurudi.
Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie janaa nilipita samuweaa ndo nkakutaa watu wamecharuaanaa hapoo, hadi watu kukaa kota za serikali ikaingizwaa, JF bhanaaa full Manjegekaaa.

Nenda uzi wa unayemchukia JF. ukajionee dramaa za JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hee
Kuna nini tena?
Kweli napitwa na mambo [emoji23]
Sijui ndo uzeee

Nashindwa kwenda na kasi ya Jf.
Ntapitia nikipata muda.


Sema mambo ya kusemana ni upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Nikiona mtu anambeza mtu siku hizi namuona kama chizi.
Tuna mambo mengi mazuri ya kufanya mbali na vijembe.
 
Hee
Kuna nini tena?
Kweli napitwa na mambo [emoji23]
Sijui ndo uzeee

Nashindwa kwenda na kasi ya Jf.
Ntapitia nikipata muda.


Sema mambo ya kusemana ni upumbavu na uzwazwa wa hali ya juu
Nikiona mtu anambeza mtu siku hizi namuona kama chizi.
Tuna mambo mengi mazuri ya kufanya mbali na vijembe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ilikua tafranii tupuuu, mwenzangu mie ndo najionaa nshakua kikongweee, heka heka za JF nilisha dump hukoo.

Now naswampaaa, nikichoka na log out, sitaki tabu na pipoz wa kiibodiiiiii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie janaa nilipita samuweaa ndo nkakutaa watu wamecharuaanaa hapoo, hadi watu kukaa kota za serikali ikaingizwaa, JF bhanaaa full Manjegekaaa.

Nenda uzi wa unayemchukia JF. ukajionee dramaa za JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mna vitrukoo sio kidogooo walahiii!!

Hebu niachane nahuu upuuzi kwanzaa!!

Coca umedinda kuibless Jioni yangu??
 
Ndio huku Nyakiboo sasa Hizo nyumba za kupanga zenyewe sasa lol!! vijumba vya udongooo hata havieleweki nyie Tanzania ni kubwaa hii hebu tembeeni matakoni mwa Tz mjue maisha muexperience enough ndio muwe mnaropoka wadogo zanguu!
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.

Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.


Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
 
Duh pole pia aisee bado wanakusema tu .

Yaani hao ni kuignore tu
Ukiongea ni kazi bure .

Vipi wazima huko ??
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
 
Kuongelea nyumba anayoishi mtu ni upumbavu na kiburi cha uzima.

Tunatofautiana kiuwezo na kimazingira.


Wengine kwetu labda nyumba za tofali,,,uwezo wetu umeishia hapo.
Huwezi kuanza kumbeza mtu eti kisa ana nyumba ya tofali,
Ndipo Mungu alipomjalia kwa wakati huo uwezo wake umeishia hapo.
Bado Watoto wa akili/ experience Mungu awarehemu bure tu!
 
Nimepita selfika nyuma leo nikaona ulivokua unalalamika nikakumbuka yangu lol!!

Humu tunasemana sana yanii kweli kupotezea tu!!

Huku kwema tushaanza mchakamchaka tena!
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani 😂😂
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
 
Yako ile inaumiza sana
So sad duh ,

Na tukapigwa na ban yaani 😂😂
Japo wengine fupi .

Ooh vyema sana, wameelewa viwalo huko ??
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza😁!!

Kuna hio mfano mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa 🤠🤠😁 Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii 🕺🕺🕺!!
Nikaja speed nifurahie mema ya nchi kumbe ni mfano😂

Jamani punguzeni mifano fanyeni kweli, tupo na upwiru wetu hapa😂
 
Unasemea ilee sema zileee!! Kuna hio moja babkubwa ile ikasome nakwambia hahahaaa... ebu nicheke kwanza[emoji16]!!

Kuna hio mfano tu lakini mtu ( Ke) kamzimikia Rabbitus ilee kufa kuozaa na yupo tayari Rabbit amle buuuree kabisa yani kwa udi na uvumba sasa gia aliyoenda nayo kwa Rabbit ni kukupondea wewe Tinsley kwakua anaona upo karibu na Rabbit ile mnavoflirt humu kutaniana mwenzenuu anatamani kufaaaaa [emoji1783][emoji1783][emoji16] Ni anakukandiaa na kukuzushiaa balaaa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!!

Nasemaaaajeeeeee jf sihamiiiiii [emoji1739][emoji1739][emoji1739]!!
Nisogezeee huu ubuyuu, mbna sina taarifa yake. Fanyaa unifikie km ulivyooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom