Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 20,261
- 49,198
Ooh sawaMimi ni mvivu sana wa kupika muda mwingi nanunua chakula ila weekend leo imenikuta pori lazma kupika
Ooh sawaMimi ni mvivu sana wa kupika muda mwingi nanunua chakula ila weekend leo imenikuta pori lazma kupika
Kiwe kikavu ndio na ugali kinakuwa bombaUgali mtaalamu
Una kucha mzuri
[emoji3166]View attachment 2682286
Zangu au za huyo bwana angu pembeni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Una kucha mzuri
Za kwako izo nyekund zineshika glassZangu au za huyo bwana angu pembeni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja na mimi nifike nyumban ni selfike kidogo
Ngoja na mimi nifike nyumban ni selfike kidogo
Ujakosea kabisa ningekuwa na pesa ningeenda wavuvi sema nimenunua simu ngoja nikanywe nyumbanKazi kazi
Safiii
Ujakosea kabisa ningekuwa na pesa ningeenda wavuvi sema nimenunua simu ngoja nikanywe nyumban
Safiii
Mwagilia mwagilia
Kwanini mkuu mbona viko saf saanHongera sana kwa kuvuta mashine mpya. Hivyo viwanja naviogopa sana
KabisaaPesa yangu kwanini nijitese kwenye kunywa
Af kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewaKabisaa
Na hamna kujibahilia
Kujenga ni kuzika hela 🤣🤣Af kuna wale watu wenyewe wana wivu wakikuona tu unamwagilia moyo utasikia ajajenga anakazi ya kulewa
Dah yaani huwa sipend kuna siku nimejitoa zangu naenda Ramadan nikatupia.picha wasp kumbe kuna mtu kauzika uko kaenda mwambia rafike yake ambaye nafahamiana nae na anacontact zangu anamwabia et huyu kutwa kwenda sehemu za kutumia hela nying lakini masikini wakutupwa dah nilikwazika.hela zangu napangiwa matumiziKujenga ni kuzika hela 🤣🤣
Na kwanini ujenge wakati una pesa ya kupanga.. anytime unazunguruka utakavyo 😝😝
Iyo mimi hapana kaabisa siwez na sitakuja kuweza