Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,990
- 48,491
Hahha et nusu kiloWaambie nataka mzubooo! Utaletewa miksa karanga. Hapo ugali nusu kilo nakata Kama kawaida yangu
Hahha et nusu kiloWaambie nataka mzubooo! Utaletewa miksa karanga. Hapo ugali nusu kilo nakata Kama kawaida yangu
Ilishawahi nikuta hiyo mwaka 2007. 🤣🤣🤣Ndo nzuri hiyo 😀😀😀
😂😂😂Ulifanya niniIlishawahi nikuta hiyo mwaka 2007. 🤣🤣🤣
Hahahaha#Tbt
View attachment 2681916
Huu mwaka
mshamba_hachekwi yupo shule ya msingi ana struggle kuandikia pensel
Lovelovie yupo darasa la nne au la tano
Saint Anne yupo form four huka akiwa ni Mwalimu wa Sunday School Kanisani
Aaliyyah yupo form two anajiandae na mock 😂😂😂
Tinsley yupo Boarding ya kishua darasa la tano
To yeye yupo form three halafu ana limwili likuubwaaaa
mwaka gani😂#Tbt
View attachment 2681916
Huu mwaka
mshamba_hachekwi yupo shule ya msingi ana struggle kuandikia pensel
Lovelovie yupo darasa la nne au la tano
Saint Anne yupo form four huka akiwa ni Mwalimu wa Sunday School Kanisani
Aaliyyah yupo form two anajiandae na mock 😂😂😂
Tinsley yupo Boarding ya kishua darasa la tano
To yeye yupo form three halafu ana limwili likuubwaaaa
Kweli kabisa ni mitihani ya enzi hizo Ilikuwa migumu kweli 😀#Tbt
View attachment 2681916
Huu mwaka
mshamba_hachekwi yupo shule ya msingi ana struggle kuandikia pensel
Lovelovie yupo darasa la nne au la tano
Saint Anne yupo form four huka akiwa ni Mwalimu wa Sunday School Kanisani
Aaliyyah yupo form two anajiandae na mock 😂😂😂
Tinsley yupo Boarding ya kishua darasa la tano
To yeye yupo form three halafu ana limwili likuubwaaaa
We acha tu halafu huko kusutwa nilikufuata mwenyewe Temeke, Shule ya Sekondari pale maeneo ya Uwanja wa Taifa. Yaani Mabinti bhana hawana adabu kabisa. Tena nimepigiwa simu nikatoka zangu Kawe mpaka Temeke nikaishia kusutwa 🤣🤣🤣😂😂😂Ulifanya nini
😂😂😂😂Sipati picha ulikuwa kma umemwagiwa maji ulivopoaWe acha tu halafu huko kusutwa nilikufuata mwenyewe Temeke, Shule ya Sekondari pale maeneo ya Uwanja wa Taifa. Yaani Mabinti bhana hawana adabu kabisa. Tena nimepigiwa simu nikatoka zangu Kawe mpaka Temeke nikaishia kusutwa 🤣🤣🤣
HongerasanaNa kimtu changu.View attachment 2681924
Temeke shuule ya scondary ,uwanja wa taifa ,kibasila?We acha tu halafu huko kusutwa nilikufuata mwenyewe Temeke, Shule ya Sekondari pale maeneo ya Uwanja wa Taifa. Yaani Mabinti bhana hawana adabu kabisa. Tena nimepigiwa simu nikatoka zangu Kawe mpaka Temeke nikaishia kusutwa 🤣🤣🤣
Pale pale Mkuu.Temeke shuule ya scondary ,uwanja wa taifa ,kibasila?
Uzuri kwamba nilikuwa siongei wala kuwajbu, walipomaliza kunisuta nikawa naondoka wakaanza kunizomea 🤣🤣🤣😂😂😂😂Sipati picha ulikuwa kma umemwagiwa maji ulivopoa
Hahaha haha,ok ,miaka ya 90s nilikua na totoz alisoma hapo ,anakaa chang'ombe madukaniPale pale Mkuu.
HahahahahaUzuri kwamba nilikuwa siongei wala kuwajbu, walipomaliza kunisuta nikawa naondoka wakaanza kunizomea 🤣🤣🤣
Ukijbishana na hawa watu unachochea moto, bora kunyamaza tuHahahahaha
Kabisa mkuu, tatizo sina uzoefu nao ,nimesoma boys mwanzo mwishoUkijbishana na hawa watu unachochea moto, bora kunyamaza tu
😂😂😂😂😂Uzuri kwamba nilikuwa siongei wala kuwajbu, walipomaliza kunisuta nikawa naondoka wakaanza kunizomea 🤣🤣🤣
Hata Mimi Songea Boys na Azania lakini kusoma sana vitabu inasaidia kuwajua hulka zaoKabisa mkuu, tatizo sina uzoefu nao ,nimesoma boys mwanzo mwisho