Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀Itakuwa badae uliumiasana
Kisa chenyewe ni cha ajabu sana aisee, ofcourse baadae nilimsimulia Mshikaji Yeye ndio akaumia kuliko Mimi na akanishawishi tukaanzishe vurugu kwa yule Binti mmoja ambaye ndiyo alikuwa chanzo.

Kisa chenyewe ni hivi
Huyo binti alikuwa anaitwa J, sasa huyo Binti alikuwa anaishi kwa Bibi yake na tunatoka wote kanda ya Ziwa na Mimi Kilugha naongea vizuri sana na Bibi yake nilikuwa napiga naye sana story kwa Kilugha na alikuwa anafurahi sana. Sasa akawa anamzingua huyo Mjukuu wake J unamwona huyu Kijana tena wa Nyumbani kabisa na mzuri halafu Mchangamfu na misifa kibao ya yule Bibi. Si unajua Bibi utani mwingi na Mjukuu na Mimi nikawa namwambia kimasihara nakuacha Wewe nachukua Mchumba mwingine 😂😂
Sasa ule utani yule J nadhani alichukulia serious kuwa Mimi namtaka coz nilikuwa namzingua Bibi yako kaniruhusu we uwe GF wangu. Yule binti alikaa na lile wazo kichwani na akawa anafikiri hivyo. Mpaka shuleni akawa anatamba kwa mwenzake. Huyo Mwenzake ndio alikuja juu sana na ndio chanzo cha Mimi kusutwa maana waliniweka kati yaani nani ninampenda kati ya J na M. Yaani ulikuwa ni msuto wa kiboya sana kwa jambo ambalo halikuwa halisi. 😂😆😆😆
 
Kisa chenyewe ni cha ajabu sana aisee, ofcourse baadae nilimsimulia Mshikaji Yeye ndio akaumia kuliko Mimi na akanishawishi tukaanzishe vurugu kwa yule Binti mmoja ambaye ndiyo alikuwa chanzo.

Kisa chenyewe ni hivi
Huyo binti alikuwa anaitwa J, sasa huyo Binti alikuwa anaishi kwa Bibi yake na tunatoka wote kanda ya Ziwa na Mimi Kilugha naongea vizuri sana na Bibi yake nilikuwa napiga naye sana story kwa Kilugha na alikuwa anafurahi sana. Sasa akawa anamzingua huyo Mjukuu wake J unamwona huyu Kijana tena wa Nyumbani kabisa na mzuri halafu Mchangamfu na misifa kibao ya yule Bibi. Si unajua Bibi utani mwingi na Mjukuu na Mimi nikawa namwambia kimasihara nakuacha Wewe nachukua Mchumba mwingine 😂😂
Sasa ule utani yule J nadhani alichukulia serious kuwa Mimi namtaka coz nilikuwa namzingua Bibi yako kaniruhusu we uwe GF wangu. Yule binti alikaa na lile wazo kichwani na akawa anafikiri hivyo. Mpaka shuleni akawa anatamba kwa mwenzake. Huyo Mwenzake ndio alikuja juu sana na ndio chanzo cha Mimi kusutwa maana waliniweka kati yaani nani ninampenda kati ya J na M. Yaani ulikuwa ni msuto wa kiboya sana kwa jambo ambalo halikuwa halisi. 😂😆😆😆
Hiyo misuto ni ya kawaida sana 😂
 
Back
Top Bottom