Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Yapi hayoHalafu mbona hukumalizia maelezo ya mbugani?
Nipate agent
Yapi hayoHalafu mbona hukumalizia maelezo ya mbugani?
Nipate agent
inaotesha ndevu??
Ndio si mmenisema sana sina ndevu nimekuja leo kuotesha muache matus wewe na Jack Palladinoinaotesha ndevu??
ntumie namba za shem nimcheki😁Ndio si mmenisema sana sina ndevu nimekuja leo kuotesha muache matus wewe na Jack Palladino
0717 997 1 oteantumie namba za shem nimcheki😁
dondosha kitu
ntamuambia unatumia vilainishi0717 997 1 otea
Madesa yameisha😂dondosha kitu
Kingine?ntamuambia unatumia vilainishi
duh, pole....Kuna uhusiano wowote wa kichwa kuuma sana panapokuwa na baridi kali?
Thank you so muchduh, pole....
Hiko ni nini kapaka usoni? Naonaga wadada kariakoo wamepaka hayo,wengi toka comoro
Iyo kwaajili ya kuondoa chunusi lakini pia kufanya uso wa mafuta kuwa mkavu mkuu hii sio kwa wadada tu ata wakaka pia mkuuHiko ni nini kapaka usoni? Naonaga wadada kariakoo wamepaka hayo,wengi toka comoro
Wakaka? Acha masihara mkuuIyo kwaajili ya kuondoa chunusi lakini pia kufanya uso wa mafuta kuwa mkavu mkuu hii sio kwa wadada tu ata wakaka pia mkuu
Mkuu mbona kawaida mkuu sema ukiwa na negative attitude utaona ajabu but normalWakaka? Acha masihara mkuu