Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
LabdaUnataka kusema mi niko 40 something??😂
Humu under 30,tuko wachache kweli .
LabdaUnataka kusema mi niko 40 something??😂
😂😂KumbeHuyu dogo anayeenda sambamba na Malijendari halafu akija kufikia Ulijendari anakuwa na akili za Utoto sasa 😅
Hutak au😂😅
🤣 Daah
Piga hesabu😂 pre-unit wa 2009 ni mwanachuoLabda
Humu under 30,tuko wachache kweli .
Miaka 14 iliyopita tu hapoPiga hesabu😂 pre-unit wa 2009 ni mwanachuo
2009 kitambo ujue😂
Mbona unakazia hapo kwenye 40 smthing😂kumbe ni forty something 😂😂
Weee😂Miaka mitano aiseee 😅😅😅
Heeheee my favourite people 40 something 😂😂Mbona unakazia hapo kwenye 40 smthing😂
Unataka unifanye nini😂
Mi sipo huko😂Heeheee my favourite people 40 something 😂😂
Uwe rafiki yangu 😂😂😂
Waseme ukweli tu kma sisi vibibiMiaka 14 iliyopita tu hapo
Nyie mnaojifanya wadogo kumbe ni forty something 😂😂
Hata hao 40's hapanaMi sipo huko😂
Mimi ni teenager, vitu hutumiagi😂
Wanawake tunawahi kuzeeka sanaWaseme ukweli tu kma sisi vibibi
Wazee waliochangamka hakuna kijana wa miak 45😀😀🏃ila wanakuwa vizuri kwakweli sisi tukifika 45 ni vikongweWanawake tunawahi kuzeeka sana
Hawa wenzetu wakiwa 45 ni vijana ati .
malizia sentensi wewe acha uoga😂ila wanakuwa vizuri
Yeaha wanajiita vijana wa makamo .Wazee waliochangamka hakuna kijana wa miak 45😀😀🏃ila wanakuwa vizuri kwakweli sisi tukifika 45 ni vikongwe
Nakuleta wapi Akhu 😂😂Naijua hii😂
Unanileta tu mdogo mdogo😂
Laiti ungejua jinsi nilivyo hopeless😂Nakuleta wapi Akhu 😂😂
Jf humu mnaojifanya watoto ni wakubwa 😂😂.
Upo unazunguka tu kwenye kiti hapo boss .
No , im not even thinking about that .Laiti ungejua jinsi nilivyo hopeless😂
Young, dumb, and broke