Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Obsessed ile mbayaDie hard fan 😂😂
Obsessed ile mbayaDie hard fan 😂😂
Fanya mpango mkutane dear ! Sio kwa hii hali lol!!🤭🤠Nataka ya kwake tu 😂😂
BossBS ndio nani??? Nipo na baba chanja wangu mieee!!
Mambo ya text bila kumuona mtu😅😅Usijareee Mie nipo furuuuuu 🤸🕺 tena ndio naipenda hii hali tramu kinoumaaa!!
Msiturushe roho sisi ma singo😂 TinsleyFanya mpango mkutane dear ! Sio kwa hii hali lol!!🤭🤠
Takoradi au arushaUnaenda wapi tena kijana
Ndiwoooooo!! Ooh poleee kwa mafuaa.Ushakuwa mama mjengo mwenyewe ,
Mapenzi matsmu sana
Mimi mafua tu yananizingua
Nasinzia tu hapa .
Kama mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa 😛🤠🤠🤠!!Mambo ya text bila kumuona mtu😅😅
Inawezekana hiyo traaamu kinoma ni nanihiii mimi nazani baridi. 🏃🏃🏃
Nitasubiri by JuxFanya mpango mkutane dear ! Sio kwa hii hali lol!!🤭🤠
Asante dearNdiwoooooo!! Ooh poleee kwa mafuaa.
Arusha nibebe na mimiTakoradi au arusha
Tuko karibu na nani tena🤣🤣Kamati mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa 😛🤠🤠🤠!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,Nitasubiri by Jux
Huku naondoka , kibaridi hatari nilirudi ghetto tu .
Najiandaa dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante dear
Kwa hiyo umeenda kwa G tayari ??
Mkaachana wapi na huyo jamaa dah .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,
Nyie nimetokaa mbalii wallah, halali nisemee nimezeeka sasa.
Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!Tuko karibu na nani tena🤣🤣
Urudi tu Nyakiboo sio kwa fujo hizi.
Sasa kama tunaonana kwa mwaka mara 1.Wewe ni singo kwani shem
Na bestie yangu je
Nenda dearNajiandaa dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kapiga cm, kasema kuna sehem kaenda akiwa anarudi atanstuaa na mie nianze kutokaa hapaa.