Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ah Mungu mwema vipi weweMzima shem langu
Missed you a lot
Za toka weekend.
Missed you more shem lake
Leo ni cold sunday
Ah Mungu mwema vipi weweMzima shem langu
Missed you a lot
Za toka weekend.
Uzee wa under 30. Labda umezeka kwa bed 😅nimezeeka bhanaa, sahivi cnaa jambooo.
Hata kupanda kwa ngazi nitake photo, ntaangukaaaa.
Unategemea na poziiii😄😄😄!!Hiyo itel inashikwa na mkono gani, ule wa Yanga au kuna mwingine😂
Nafurahi kisikia hivyo.Ah Mungu mwema vipi wewe
Missed you more shem lake
Leo ni cold sunday
Ileee ya msamba naipenda balaaaa!!
Naisubiriaa kwahamuu





Cute lady kama wewe lazima uwe na vitu vikali kama face yako tu.Unategemea na poziiii😄😄😄!!
Uzee wa under 30. Labda umezeka kwa bed![]()



kwa Bed hapanaa, siwezii zeeka hata iwejee.Sijui imetokea wapiNafurahi kisikia hivyo.
Pole sana, kumbe na daslam kuna baridi?
Nilitaka kushangaa hapakwa Bed hapanaa, siwezii zeeka hata iwejee.
Ukija nistueee namieee uduguu!! Enzi hizo tulikua huru sana humuu hakukua na mapepe kabisa nipo nawaza saivi ningethubutu kutuma vile vipensi chupi Humu mimi uwiiiii!!🙌🙌🙌🙌!![]()
Baadaeee mida yetuu ileee.
Leo narudia Tbt, nakumbushia enzi hizo, Selfika selfika kweliii.
Mafua dawa yake ndogoSijui imetokea wapi
Inanitia uvivu na haya mafua
Najihisi nipo Antarctica 😂😂😂
Unasema kweli 🙄🙄Ukija nistueee namieee uduguu!! Enzi hizo tulikua huru sana humuu hakukua na mapepe kabisa nipo nawaza saivi ningethubutu kutuma vile vichupi Humu mimi uwiiiii!!🙌🙌🙌🙌!
Acha nizeeke tu kwakweli 😄😄😄!!
Mweh sina ukyuti wowote mie ni Kamera tu rafiki!Cute lady kama wewe lazima uwe na vitu vikali kama face yako tu.
Ngoja nimcheki weekend ndo inaishia hivyo .Mafua dawa yake ndogo
Fanya kumcheki Yoda hapo
Utakaa sawa na baridi itaisha kabisa😅
Kabisa!Unasema kweli 🙄🙄
Usijali, tutailainisha na lotion tuMweh sina ukyuti wowote mie ni Kamera tu rafiki!
Nina sura moja ngumu balaa!!
Naona siku hizi mmewezana, no stress 😅😅🏃🏃Ngoja nimcheki weekend ndo inaishia hivyo .
Nidekepo kidogo
Kulainisha na lotion lol 🤔😄!!Usijali, tutailainisha na lotion tu
Mungu akikupendelea, harafu akaona unafurahia anawapa huo upendeleo hadi wajukuu zako.
Wewe ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Nenda kamwambie ahh jinsi navyompenda mi - Diamond .Naona siku hizi imewezana, no stress 😅😅🏃🏃
Nilitaka kushangaa hapa
Coca na bed ni kama mgonjwa na uji




yaan nitafiaa kwa Bed wallah.