Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Udugu kesho unitoe lunch basiJuzi af ujue uyo jirani yangu ee ofis yake na yangu ni pua na mdomo
Udugu kesho unitoe lunch basiJuzi af ujue uyo jirani yangu ee ofis yake na yangu ni pua na mdomo
Usijareee Nimefikaaa ndugu mjumbeee sema nawadeizz nimestaafu kuselfika .Ni mkemia akija ataconfirm hapa
Kesho nasafiri tena udugu sasa itakuwajeUdugu kesho unitoe lunch basi
Kumbe wewe mc
Hapana nilijitolea tu .Ijapokuwa wadau wanadai hata Gara B hanifikii nikiamua kuwa serious.Kumbe wewe mc
Yanii nilikua bize sio kidogoo kipenzi utanibles leo Usiku mida yeitruuu ileeilee !Ushalala wee??![]()
Imeeleweka hio mkemiaDakika sifuri ndugu mjumbe usipepese hata kopeeeee!!
Antonnia Umemsababishi spidernyoka heart attack 😅😅. Hongera sana, yaliyomo yamo mamaKam kauwaaa ndugu mjumbeee sidaiwi selfii sidaiwi chama nimeolewa nina watoto na sitoki na mume wa mtu🤩!
Spidernyoka have a good time and enjoy your weekend ndugu mjumbe!!
Muite aje kuchukua namba 4 yake mwambie leo nimemfungashia aondoke nayo kabisaa!!😊Antonnia Umemsababishi spidernyoka heart attack 😅😅. Hongera sana, yaliyomo yamo mama
Upo?Naomba mchape mwanafunzi wako uyo msumbufu
Yaani najilaumu sana kwa kukuangalia, napata tabu hapa kufanya imagination tu.Muite aje kuchukua namba 4 yake mwambie leo nimemfungashia aondoke nayo kabisaa!!😊
Hio ya muda mrefu sana sikuhizi nimekua chembambaaa kama cocaaa namentain nakunywa maji ya moto ya limaoo na nimepunguza kufakamiaa😊😊😊!!Yaani najilaumu sana kwa kukuangalia, napata tabu hapa kufanya imagination tu.
So beautiful, nimeona ka baby doll
spidernyoka wahi kuna mali safi hapaMuite aje kuchukua namba 4 yake mwambie leo nimemfungashia aondoke nayo kabisaa!!😊
Mkemia niwekee sasa nlitoka kdgHio ya muda mrefu sana sikuhizi nimekua chembambaaa kama cocaaa namentain nakunywa maji ya moto ya limaoo na nimepunguza kufakamiaa😊😊😊!!
Imagination zanini tenaa lol!
Vitu navopenda hivo mimi winga mzuri najua kupwontispidernyoka wahi kuna mali safi hapa
Nawe ngoja nikufungashie uondoke nayo 🤗🤗😊Yaani najilaumu sana kwa kukuangalia, napata tabu hapa kufanya imagination tu.
So beautiful, nimeona ka baby doll