Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muwe na mchana mwema wapendwaaa ngoja nirare kwanzaaa!!
Hali ya hewa ya Dar leo inanikosha balaaaaa!! Hii ndio hali ya hewa Ya Nyakiboo sasa hata jua likiwaka kunakua na kaubaridii kama kama ka AC vile!
I love it!😴💤😴💤😴💤
 
Ukija nistueee namieee uduguu!! Enzi hizo tulikua huru sana humuu hakukua na mapepe kabisa nipo nawaza saivi ningethubutu kutuma vile vipensi chupi Humu mimi uwiiiii!!!
Acha nizeeke tu kwakweli !!
Km ujana wa Selfika tumekulaaa na tumeuchezaaa.
Sahivi tunawaachiaa wapyaaaa,
 
  • Thanks
Reactions: 511
Muwe na mchana mwema wapendwaaa ngoja nirare kwanzaaa!!
Hali ya hewa ya Dar leo inanikosha balaaaaa!! Hii ndio hali ya hewa Ya Nyakiboo sasa hata jua likiwaka kunakua na kaubaridii kama kama ka AC vile!
I love it!😴💤😴💤😴💤
Kata mitaa wewe
Unalalaje kwa mfano, utasimulia nini ukirudi Nyakiboo.

Nenda hata kidimbwi hapo, au kimara ukale mbuzi katoriki
 
Hakika nafurahi sana kuona mnavyoendelea. Japo ilikuwa coincidence tu ila nashukuru kukutana nanyi siku ile.
Mungu mwema sana shem
Nashukuru pia
Ukiwa kama kaka , rafiki , tunasema asante sana
 
  • Nzuri
Reactions: 511
Kata mitaa wewe
Unalalaje kwa mfano, utasimulia nini ukirudi Nyakiboo.

Nenda hata kidimbwi hapo, au kimara ukale mbuzi katoriki
Badae nikiamka !! Sio kwa hali hii ya hewa lol inashawishi kuraraa😛😴💤😴💤💤
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Muwe na mchana mwema wapendwaaa ngoja nirare kwanzaaa!!
Hali ya hewa ya Dar leo inanikosha balaaaaa!! Hii ndio hali ya hewa Ya Nyakiboo sasa hata jua likiwaka kunakua na kaubaridii kama kama ka AC vile!
I love it!😴💤😴💤😴💤
Nawahi hapa nikajifunike blanketi ..
Hii nadra sana huku
 
Back
Top Bottom