Mimi mgeni pia huko.Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!
Siliwezagi joto lake
Mimi mgeni pia huko.Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!
Inabidi tukutafutie mwingineSasa kama tunaonana kwa mwaka mara 1.
Niko singo shem, kaa humo😅🏃🏃🏃🏃
Yule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.Mkaachana wapi na huyo jamaa dah .
Hahaa mkongwe kwenye mapenzi .
AiseeSitaki mwingine
Namtaka yule nilimuona Friday.
Ukinipa huyo natangaza ndoa.
Walai Hii baridi aiingize mpaka ipenyezee mgongoni 🏃🏻♀️🤠🤠!Najiandaa dear [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kapiga cm, kasema kuna sehem kaenda akiwa anarudi atanstuaa na mie nianze kutokaa hapaa.
Umejuajee sasa, nikae solo na G yupoo? Ni matumizi mabaya ya,mahusianoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nenda dear
Baridi hii sio ya kukaa solo kabisa
Aisee pole dahYule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.
Namkumbukagaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achokonoee hadi nyongaa ipandee shingonii.Walai Hii baridi aiingize mpaka ipenyee mgongoni [emoji1783][emoji1783][emoji2960]!
Hahahaaa 😂😂😂Umejuajee sasa, nikae solo na G yupoo? Ni matumizi mabaya ya,mahusianoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuweka wapi sasa kwenye buti au begi😅😅😅Arusha nibebe na mimi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achokonoee hadi nyongaa ipandee shingonii.
Nyokoooo weee, Una akili km zangu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cocastic atakufundisha tabia mbaya mtoto mzuri.Walai Hii baridi aiingize mpaka ipenyezee mgongoni 🏃🏻♀️🤠🤠!
Yule yule anakufaa aiseAu kuna mkali zaidi ya yule, unaeona ananifaa.? Nakwaminia shem, hukoseagi na huna baya na mtu🤩🤩
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2nd love.Aisee pole dah
Alikuwa first love nn
Akiruidi je sasa
coca Kashaniwehushaa walai hebu niraree kwanzaa 😊Cocastic atakufundisha tabia mbaya mtoto mzuri.
Keshoo jioniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo sleep over kabisa
Kurudi ni kesho eeh .
First love alikuwa nani aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2nd love.
Ila tulipendanaaa sanaaa.
Akirudi sijui itakuajee, ila mmmh huko alipo atakua ashaoa na watoto bhana.
Me hata kwenye wallet niweke tu😂 ila usiniache kama utaenda chugaNakuweka wapi sasa kwenye buti au begi😅😅😅
Muanze tu sogea tukae dah .Keshoo jioniiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijakuzidii wee, umerithii vibayaa, umenizidi hadi mentor wako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
Wee ni chiziiii[emoji16]