cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Ndiwoooooo!! Ooh poleee kwa mafuaa.Ushakuwa mama mjengo mwenyewe ,
Mapenzi matsmu sana
Mimi mafua tu yananizingua
Nasinzia tu hapa .
Ndiwoooooo!! Ooh poleee kwa mafuaa.Ushakuwa mama mjengo mwenyewe ,
Mapenzi matsmu sana
Mimi mafua tu yananizingua
Nasinzia tu hapa .
Kama mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa 😛🤠🤠🤠!!Mambo ya text bila kumuona mtu😅😅
Inawezekana hiyo traaamu kinoma ni nanihiii mimi nazani baridi. 🏃🏃🏃
Nitasubiri by JuxFanya mpango mkutane dear ! Sio kwa hii hali lol!!🤭🤠
Asante dearNdiwoooooo!! Ooh poleee kwa mafuaa.
Arusha nibebe na mimiTakoradi au arusha
Tuko karibu na nani tena🤣🤣Kamati mpo karibu msijibaneee wapendwaa maisha ndio hayahayaaa 😛🤠🤠🤠!!
Nitasubiri by Jux
Huku naondoka , kibaridi hatari nilirudi ghetto tu .




umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,Najiandaa dearAsante dear
Kwa hiyo umeenda kwa G tayari ??




Mkaachana wapi na huyo jamaa dah .umenikumbusha mbali, 2013 hiyo Nitasubiri ya jux kuna jamaa alikua ananiimbia,
Nyie nimetokaa mbalii wallah, halali nisemee nimezeeka sasa.
Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!Tuko karibu na nani tena🤣🤣
Urudi tu Nyakiboo sio kwa fujo hizi.
Sasa kama tunaonana kwa mwaka mara 1.Wewe ni singo kwani shem
Na bestie yangu je
Nenda dearNajiandaa dear
Kapiga cm, kasema kuna sehem kaenda akiwa anarudi atanstuaa na mie nianze kutokaa hapaa.
Mimi mgeni pia huko.Kwakweli hebu nifanye nirudi Zangu Nyakiboo kesho skonga mi saii nipo kujichetua tu jijini kwenyuu wenyewe 😊😊😁!!
Inabidi tukutafutie mwingineSasa kama tunaonana kwa mwaka mara 1.
Niko singo shem, kaa humo😅🏃🏃🏃🏃
Yule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.Mkaachana wapi na huyo jamaa dah .
Hahaa mkongwe kwenye mapenzi .
AiseeSitaki mwingine
Namtaka yule nilimuona Friday.
Ukinipa huyo natangaza ndoa.
Walai Hii baridi aiingize mpaka ipenyezee mgongoni 🏃🏻♀️🤠🤠!Najiandaa dear
Kapiga cm, kasema kuna sehem kaenda akiwa anarudi atanstuaa na mie nianze kutokaa hapaa.
Umejuajee sasa, nikae solo na G yupoo? Ni matumizi mabaya ya,mahusianoo.Nenda dear
Baridi hii sio ya kukaa solo kabisa







Aisee pole dahYule hatukuachanaa, ila aliondoka mie nikiwa shule, narudi likizo simkuti naambiwa kaenda Rwanda kwa baba ake mdogo, toka hapo sina mawasiliano nae tenaa.
Namkumbukagaa.