Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante Mjukuu, ila naweza kutokwenda hadi Wajukuu zangu hao akina cocastic wahitimu shule zao

aibu kusoma na wajukuu zangu shule moja [emoji28]
Mie mbna tayari, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa huru kupiga masitazi yakoo.

Msalimie Kimambo the beat, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntammic mnooo.
 
Hongera kama umesha hitimu, sasa zamu ya Babu yako kuongeza maarifa juu ya shughuli zangu za shamba [emoji2957]
Kwa kweliii we ongezaa ujuzii tyuuh hapo, kwa kina Gurunzee (sitaji jina halisi lake) huyu mtu bas tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisemi sanaa.
 
Mie mbna tayari, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa huru kupiga masitazi yakoo.

Msalimie Kimambo the beat, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntammic mnooo.
Hahaha...........hongera Mjukuu, fanya uje uendelee na Masters sasa 🤪
 
Kwa kweliii we ongezaa ujuzii tyuuh hapo, kwa kina Gurunzee (sitaji jina halisi lake) huyu mtu bas tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisemi sanaa.
Hahaha....................haijalishi umehitimuje kikubwa utavaa gamba 🤪

Najua shule ya coet inavyokuwaga ngumu 🙌
 
It is good that you have decided to put your words straight, so he should prepare himrself to be the giver and you to be the receiver???🤣 🤣
Hahaa naongea tu kuhusu hiyo isssue , jamaa anataka apunguziwe mahari kweli jamani .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipumzikee kwanii bhanaa wee.
Kichwa kipoe poe.
Kama ni hivyo uje Kijijini unisaidie kusimamia mashamba yangu ya mahindi sasa, wasije nyani kula mahindi yangu yote nikitoka kwenda shule 🤪
 
Back
Top Bottom