Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,536
- 66,077
Naomba ajaze mafuta kwenye vits yake ya namba CBE ndio usafiri tunaoutegemea 🤣🤣Ye ndio kanifotoa
Naomba ajaze mafuta kwenye vits yake ya namba CBE ndio usafiri tunaoutegemea 🤣🤣Ye ndio kanifotoa
Umenikumbusha cbe ya mwanza dah,😂🤣🤣Naomba ajaze mafuta kwenye vits yake ya namba CBE ndio usafiri tunaoutegemea 🤣🤣
lenie mambo😋Udugu uko wapi, me nishajiandaa Mwachiluwi View attachment 2675061
Rudi shule mdogo wanguUmenikumbusha cbe ya mwanza dah,😂🤣🤣
Acha shobo basi si ujiandae chuo kinafunguliwalenie mambo😋
nini shida lakini😅Acha shobo basi si ujiandae chuo kinafunguliwa
Kaka soon tuna toa album ya real jobless from Africa😂🤣🤣 mshamba_hachekwi 😂🤣kujiajiri kugumu😂 bora kukusanya vyeti
Keep dreaming ooh
Mi mdogo ako Tena🙄🙄, akati hata kombe la dunia la 2010 huja angalia🤣😂😂Rudi shule mdogo wangu
Una shobo sana uwezi kupita kimya 🤪nini shida lakini😅
fantasy kama fantasyKaka soon tuna toa album ya real jobless from Africa😂🤣🤣 mshamba_hachekwi 😂🤣
Nimeangalia kipindi iko tup seminari tunaluka ukuta morng tunachezea stikiMi mdogo ako Tena🙄🙄, akati hata kombe la dunia la 2010 huja angalia🤣😂😂
Hata wakoloni wali waambia wazee wetu neno Hilo🤣😂😂Keep dreaming ooh
nimeona pisi kali nimeshindwa kujizuia😅Una shobo sana uwezi kupita kimya 🤪
Wew uyo si anakuzaa kabisa tena uku anapika maandazi acha izo size yako kule shule ya msingnimeona pisi kali nimeshindwa kujizuia😅
Kaka uwepo was majobless wenzagu una hitajika, maana wa Nigeria wametuma lyrics ziko bandarini 🤣😂fantasy kama fantasy
kizuri ni kizuri bana😅Wew uyo si anakuzaa kabisa tena uku anapika maandazi acha izo size yako kule shule ya msing
Mi wa chini ya mbuyu, Sina la kusema🤣😂Nimeangalia kipindi iko tup seminari tunaluka ukuta morng tunachezea stiki
Uko persistent on thisHata wakoloni wali waambia wazee wetu neno Hilo🤣😂😂