Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweliii we ongezaa ujuzii tyuuh hapo, kwa kina Gurunzee (sitaji jina halisi lake) huyu mtu bas tyuuh.
sisemi sanaa.
Hahaha....................haijalishi umehitimuje kikubwa utavaa gamba 🤪

Najua shule ya coet inavyokuwaga ngumu 🙌
 
It is good that you have decided to put your words straight, so he should prepare himrself to be the giver and you to be the receiver???🤣 🤣
Hahaa naongea tu kuhusu hiyo isssue , jamaa anataka apunguziwe mahari kweli jamani .
 
nipumzikee kwanii bhanaa wee.
Kichwa kipoe poe.
Kama ni hivyo uje Kijijini unisaidie kusimamia mashamba yangu ya mahindi sasa, wasije nyani kula mahindi yangu yote nikitoka kwenda shule 🤪
 
Back
Top Bottom