Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bangi mie naijua ikiwa ktk mbegu had ikiwa tayari kivunwaa, tumelimaa sanaa kwetuu.

Wala sio kitu cha ajabu kwangu, ila nimeshangaa yeye kuwa vilee, maana naowajua wote wanaojionesha kabisaa km wanatumia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heehee kumbe waijua vyedi
Mimi siijui hata sana , labda msokoto nitahisi

Anatumia kidogo
G ni balaa , anatumia ugenius wake everywhere .
 
Heehee kumbe waijua vyedi
Mimi siijui hata sana , labda msokoto nitahisi

Anatumia kidogo
G ni balaa , anatumia ugenius wake everywhere .
Naijua vyedii skankaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
G kani suprise mnoo kwa kweliii, woiiiiih
 
Hehhe
Wewe hukuwa na couple yako

Mimi ningeondoka sitaki kukaa sehemu za hivyo .
couple natoa wapi na ushamba wote huu😂

niliacha kabisa kwenda kwenye mikesha mpaka leo, na washakaji wanapenda kweli wananiitaga.... mimi naona it's not right....
 
Back
Top Bottom