Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Karma has no menu. You get served what you deserve. Lunch more, worry less.
Partner in crime mshamba_hachekwi, Dulcet Tinsley, Bellissima Lenie flattering Dahan
View attachment 2674055
Lol niliona juzi mmama mmoja amekatakata migoho kachanganya na karanga na karoti kaweka kwenye vi nylon anauza nikajisemea tu nhiiiii kweli tembea uone sio barabara na maghorofa !! Ushambaa huu🤠🤠🙌
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Yeah mawasiliano kuna mnada leo pia .
Ni ndani mule kwenye soko ??
Nimepita hapo asubuhi leo.
Kuna mdada mmoja tulikua nae tunachagua tulikua mi nayeye tunachagua huku yulee mkaka nae anatusaidia kusaula anatuonyesha tukiona vizuri tunavutanajeee kugombania🤠🤠🤠🤠🤠
 
Kuna mdada mmoja tulikua nae tunachagua nae tulikua mi nayeye tunachagua huku yulee mkaka nae anatusaidia kusaula anatuonyesha tukiona vizuri tunavutanajeee kugombania🤠🤠🤠🤠🤠
Heehee yani hapo usikute yeye ndo anaiwahi ,nguo zuri halafu.

Unabakii kuumia moyoni
 
Back
Top Bottom