mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,935
oya kuna mkesha niliendaga ulikua kama prom night😂Vaa casual hivi but look smart
Drop Dead gorgeous you know what i mean .
ni couples tu... watu wanafanya church inakua club
oya kuna mkesha niliendaga ulikua kama prom night😂Vaa casual hivi but look smart
Drop Dead gorgeous you know what i mean .
I guess ndo mapenzi yalivyoNaijua vyedii skankaaa,
G kani suprise mnoo kwa kweliii, woiiiiih
Okay niceIm done already, it was 🏊 for 15 minutes olny.
Hehheoya kuna mkesha niliendaga ulikua kama prom night😂
ni couples tu... watu wanafanya church inakua club
couple natoa wapi na ushamba wote huu😂Hehhe
Wewe hukuwa na couple yako
Mimi ningeondoka sitaki kukaa sehemu za hivyo .
Hahaa ungetafuta usingeenda kinyongecouple natoa wapi na ushamba wote huu😂
niliacha kabisa kwenda kwenye mikesha mpaka leo, na washakaji wanapenda kweli wananiitaga.... mimi naona it's not right....
nyumbani kule arusha... mikesha ya mwaka mpya kule wanaparty balaa😂Hahaa ungetafuta usingeenda kinyonge
Ni huko huko Mbeya ???
Halafu wewe unatuzuga basing on your pictures , lazima una mahusiano tu , na wapo wanaokulilia .couple natoa wapi na ushamba wote huu😂
niliacha kabisa kwenda kwenye mikesha mpaka leo, na washakaji wanapenda kweli wananiitaga.... mimi naona it's not right....
Nilitaka nishangae Aru , mna swaga za mbele kabisa 😂nyumbani kule arusha... mikesha ya mwaka mpya kule wanaparty balaa😂
ni wewe kweli tinsley nnaemjua mimi😂unaopoa pisi kali ya ki mbulu hapo , unaenda nayo mkesha
😂😂ni wewe kweli tinsley nnaemjua mimi😂
ntajaribu mkesha wa next year😂😂😂
Why not , usijichoshee mazeeee
Kujibania ndo nini .
Mahindi yanavutiaKarma has no menu. You get served what you deserve. Lunch more, worry less.
Partner in crime mshamba_hachekwi, Dulcet Tinsley, Bellissima Lenie
View attachment 2674055
Amina dear yani nimeweka kitako kabisa baloo moja baada ya jingine!Saulaaa mama
All the best
Hakika utapata viwalo vya maana .
Kunavigauni vya shiffoni vizuri sana
Enjoy your weekend too 😍😍
Ah kazi njema dearAmina dear yani nimeweka kitako kabisa baloo moja baada ya jingine!
Bukoba bei kubwa mnooo naenda kuzinyosha natunduka !!
kiingereza kingi uskute unanisema mla mihogo😂Karma has no menu. You get served what you deserve. Lunch more, worry less.
Partner in crime mshamba_hachekwi, Dulcet Tinsley, Bellissima Lenie flattering Dahan
View attachment 2674055