Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt una aibu wew kha au hauna njaa
shangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.

Wee nshasepaa zangu, akinipigia namjibu kuna dharuraaa, uwiiiiih
Hapa napita kwa mate waislamu,
Napita kwa ninao waweza, tena napika mwenyewee km wao hawatakiii
 
Usha sepaaa kitambooo

Nimekumbuka wakat niko Advance, shule zinafunguliwa j3, mie home natoka alhamic, toka alhamc hiyo had j5 baada ya kufungua shule nakua Lodge tyuuh.

ile Lodge nlikua na no ya muhudumu, tulikua tunachat na kupeana taarifa za kuweka chumba cha kufikia.

Ila mie aaaaah
 
shangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.

Wee nshasepaa zangu, akinipigia namjibu kuna dharuraaa, uwiiiiih
Hapa napita kwa mate waislamu,
Napita kwa ninao waweza, tena napika mwenyewee km wao hawatakiii
Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana šŸ˜€
 
Usha sepaaa kitambooo

Nimekumbuka wakat niko Advance, shule zinafunguliwa j3, mie home natoka alhamic, toka alhamc hiyo had j5 baada ya kufungua shule nakua Lodge tyuuh.

ile Lodge nlikua na no ya muhudumu, tulikua tunachat na kupeana taarifa za kuweka chumba cha kufikia.

Ila mie aaaaah
Ila aunt unakuwaga na nani huko lodge🤣🤣
 
Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana
hiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.

Ndani mazaga zaga ya kushatoooo.
Kwenye kupikaa anajuliaa, huyu m mwera sio mchezo.
 
hiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.

Ndani mazaga zaga ya kushatoooo.
Kwenye kupikaa anajuliaa, huyu m mwera sio mchezo.
Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke
 
Utapeli nyie ndo mlikuwa matapeli wenyew
Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh" anaongea huku anachekaaa.

Afu j3 ya kufungua shule hiyo wala hatuna habariii.
 
Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa.
Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwakošŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€
 
Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh" anaongea huku anachekaaa.

Afu j3 ya kufungua shule hiyo wala hatuna habariii.
🤣🤣🤣Mambo mmeyaanza zamani nyie 🤣🤣🤣
 
Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako
Sawa nyie wakishua si wengine tulikuwa tunapewa nauli ya kurudi shule then tunakula ugali wa shule muhula mzima bila pesa ya matumizi
 
Back
Top Bottom