Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,423
Hahahahaha,karibuDah afu nipo around mkuu ujueš
Hahahahaha,karibuDah afu nipo around mkuu ujueš
Aunt una aibu wew kha au hauna njaa![]()




shangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.





Usha sepaaa kitambooo









ile Lodge nlikua na no ya muhudumu, tulikua tunachat na kupeana taarifa za kuweka chumba cha kufikia.Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana šshangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.
Wee nshasepaa zangu, akinipigia namjibu kuna dharuraaa, uwiiiiih
Hapa napita kwa mate waislamu,
Napita kwa ninao waweza, tena napika mwenyewee km wao hawatakiii
Ila aunt unakuwaga na nani huko lodgeš¤£š¤£Usha sepaaa kitambooo
Nimekumbuka wakat niko Advance, shule zinafunguliwa j3, mie home natoka alhamic, toka alhamc hiyo had j5 baada ya kufungua shule nakua Lodge tyuuh.
ile Lodge nlikua na no ya muhudumu, tulikua tunachat na kupeana taarifa za kuweka chumba cha kufikia.
Ila mie aaaaah
Mkono upo wapi kijana?šGily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana![]()




hiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.




Ahahahah njoo uoneMkono upo wapi kijana?š
Ila aunt unakuwaga na nani huko lodge![]()





shangaziii taratibuuu kwanii, hivii nikikumbukaa nachekaa sanaa, sisi hatukua wa kuachanaa.




Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa.Upewe maua yako







Usiende kuwachepusha wenzako, leo siku ya ibada ujue![]()





ibada ishaishaa bhanaa, sahivi ni mnuso tyuuh.Naam Naam Naamcoca upewe maua yako jamani....
dronedrake si haba mwananguš
š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Utapeli nyie ndo mlikuwa matapeli wenyew š¤£š¤£š¤£shangaziii taratibuuu kwanii, hivii nikikumbukaa nachekaa sanaa, sisi hatukua wa kuachanaa.
Mapenzi ni utapeliiii![]()
Pocket money ikiisha si ulikuwa unatumiwa nyingine au????Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa.![]()
Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondokehiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.
Ndani mazaga zaga ya kushatoooo.
Kwenye kupikaa anajuliaa, huyu m mwera sio mchezo.
Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh"Utapeli nyie ndo mlikuwa matapeli wenyew
![]()


anaongea huku anachekaaa.Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwakoššššUle utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa.![]()
Pocket money ikiisha si ulikuwa unatumiwa nyingine au????





ndyooooooh,š¤£š¤£š¤£Mambo mmeyaanza zamani nyie š¤£š¤£š¤£Kuna siku muhudumu anatuambia, "nyie watoto msome kwani hayo mnayo yafanya yapo tyuuh"anaongea huku anachekaaa.
Afu j3 ya kufungua shule hiyo wala hatuna habariii.
Sawa nyie wakishua si wengine tulikuwa tunapewa nauli ya kurudi shule then tunakula ugali wa shule muhula mzima bila pesa ya matumiziHaha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako![]()