financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,512
Dah afu nipo around mkuu ujue😁Msasani mwisho
Dah afu nipo around mkuu ujue😁Msasani mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nshasepa mbna, niko kwa road, naenda kuswampaaa hukoooKale pilau huko mm ningeenda hotpot[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni nomaaaah!! DuuuhNishaondoka kipenzi kukuwangu wanaugua kijijin nimewah Nile supu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Oya mwanangu kiti hiki hakijatendewa haki nyama kidogoGily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
Nakujua ww unapenda nyama kwahiy sishangaiOya mwanangu kiti hiki hakijatendewa haki nyama kidogo
Aunt una aibu wew kha au hauna njaa🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nshasepa mbna, niko kwa road, naenda kuswampaaa hukooo
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni nomaaaah!! Duuuh
Sasa unasubiri nn changamkia fursa😀😀Dah afu nipo around mkuu ujue😁
Hahahahaha,karibuDah afu nipo around mkuu ujue😁
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.Aunt una aibu wew kha au hauna njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usha sepaaa kitambooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana 😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii huyu jirani ni mkarimu mnooo, kila Eid lazima apitishe upendo, sasa zikifka sikukuu zetu unakuta sina kitu, aaaaah.
Wee nshasepaa zangu, akinipigia namjibu kuna dharuraaa, uwiiiiih
Hapa napita kwa mate waislamu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napita kwa ninao waweza, tena napika mwenyewee km wao hawatakiii
Ila aunt unakuwaga na nani huko lodge🤣🤣Usha sepaaa kitambooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumbuka wakat niko Advance, shule zinafunguliwa j3, mie home natoka alhamic, toka alhamc hiyo had j5 baada ya kufungua shule nakua Lodge tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile Lodge nlikua na no ya muhudumu, tulikua tunachat na kupeana taarifa za kuweka chumba cha kufikia.
Ila mie aaaaah
Mkono upo wapi kijana?😅Gily Mjep Lenie Jack Palladino unaona mkono wa mwanaume uhu leo sema jingine leo @mView attachment 2672846
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ya kuweka ndio zake, alifanyaga ka tafrija kadogo, kheeeh asiniwekee na mie, nashangaa SAA 4 mtu ananipigia cm fungua mlango niko hapa, kufungua hotpot hilo.Hahah kupika sio lazima Wala usijishtukie mwingine ndivyo alivo tu na Nina uhakika atakuwekea labda urudi usiku sana [emoji3]
Ahahahah njoo uoneMkono upo wapi kijana?😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangaziii taratibuuu kwanii, hivii nikikumbukaa nachekaa sanaa, sisi hatukua wa kuachanaa.Ila aunt unakuwaga na nani huko lodge[emoji1787][emoji1787]
Ule utoto ulikua unatusumbua, pocket money inaisha na shule sijagusaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upewe maua yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ibada ishaishaa bhanaa, sahivi ni mnuso tyuuh.Usiende kuwachepusha wenzako, leo siku ya ibada ujue[emoji23]
Naam Naam Naamcoca upewe maua yako jamani....
dronedrake si haba mwanangu😂