Hahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamaniHakina utanifanga nikonde kwa maraha, maana bagia za mrembo ni tamu sana. Nitakulinda kama nyuki na asali yake. 😘
Barikiwa sanaa mnywaniii !1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.
2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi
3. Kahama pia, japo siyo sana...
Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Barikiwa sanaa mnywaniii !
Wakora munoo!
Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee!![]()


bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifaMtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.
2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi
3. Kahama pia, japo siyo sana...
Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Lol Ngara kote huko mbona mbali sanaa uwiii!! Hamia Missenyi Au Muleba japo muleba pamepoa sanaa hata hapajachangamka kabisa!!bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii???😊😊bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashukaMtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!
Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa?Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii???![]()
Hainaga kupumua,, anza michongo mapema





bhana jau sasa aaahAhaa hapo nimekupata!Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka
Nimependa kucha za huyo mdada,
😁😁😁😂😂!! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasome😁 wanarushaaa balaaa😊!!yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa?
Natakiwa nikonde maraha yakizidiHahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamani
Love in the air !!
!! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasome
wanarushaaa balaaa
!!
Afu ngara wamejaaa kama wote!!



yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania.Hivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula????😊😊😊yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania.
Maeneo ya vijinini changamoto Lughaaaa! wengi wakija dukani wanaulizia vitu kwa kilugha!!!
Wabaguzi balaa!! Labda biashara ya guest!!



we na hiyo rangi yako basi hupati shida kuuza, wateja wanakuja kushangaa muuzaji mzunguNafikiri ni nature tu, japo wengine wanasema ni ndizi ila sidhan, mbona moshi wanakula sana ndizi lakin mpaka tuweke mateHivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula????![]()

