Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😁😁❤️😁😁
PXL_20230625_064334285.jpg
 
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Barikiwa sanaa mnywaniii !

Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee!😊

Ngoja nifanye comparisons nione wakora munooo!
 
1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko.

2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi

3. Kahama pia, japo siyo sana...

Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo
Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!
Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
 
bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Lol Ngara kote huko mbona mbali sanaa uwiii!! Hamia Missenyi Au Muleba japo muleba pamepoa sanaa hata hapajachangamka kabisa!!
 
Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii!
Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka
 
Back
Top Bottom