Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Ndio mkuu Mwanamke yoyote ana majiii! Unategemea........!!📌📌📌🔨🔨🔨
Ndio mkuu Mwanamke yoyote ana majiii! Unategemea........!!📌📌📌🔨🔨🔨
hujazoea tu aisee😂Eti jua ndio linawaka sahivi mshamba_hachekwi
Ile jamii ya wanyankole (former Buganda empire) iko tofauti, kuanzia Burundi, Rwanda, Kagera na sehemu ya Uganda, kule Uganda kuna kabila wenyewe huwa wanaongezea urefu labia (sijui manora au majora) mpaka akiwa anatembea anajitekenyaHiyo ni uongoooo
Bk wanakula matoke
Moshi wanakula mshale.. hizo ni ndizi 2 tofauti


Naendelea kuandika notes hapa 🥰Yaani hapo utanimaliza haswaa.
Hata ukitaka bahari nakupatia bila pingamizi.
itabidi utusaidie kuwafanyia research, naomba nitumike kama mtestijiNahisi na vyakula mnywani kwa uzoefu wangu nilivyoona ni vyakula unajua kwanini!!
Pia inategemea na mchimbaji awe wakule awe wa Dar!!
Depal njoo utoe jibu hapa, au umeenda kulia tena😂😂Muulize nani alimbembeleza alivyokua analia
😂😂😂 Ngoja kwanza, pokea bahari kwa sasa. Nikikupa na dunia hawa viumbe Depal, Jack Palladino na mshamba_hachekwi watabaki ma homeless😅😅Naendelea kuandika notes hapa 🥰
Nifanyeje ili unipatie na dunia yote, wengine watatafuta pa kuishi
Kipong wana menu ya matoke leo, karibuHiyo ni uongoooo
Bk wanakula matoke
Moshi wanakula mshale.. hizo ni ndizi 2 tofauti
acha maneno mtumie hela!!😂😂😂 Ngoja kwanza, pokea bahari kwa sasa. Nikikupa na dunia hawa viumbe Depal, Jack Palladino na mshamba_hachekwi watabaki ma homeless😅😅
Hao washkaji zangu siwezi watosa, nitawafanyia namna 😂😂😂😂 Ngoja kwanza, pokea bahari kwa sasa. Nikikupa na dunia hawa viumbe Depal, Jack Palladino na mshamba_hachekwi watabaki ma homeless😅😅
Mbona kwa hisia sana🤣Hiyo ni uongoooo
Bk wanakula matoke
Moshi wanakula mshale.. hizo ni ndizi 2 tofauti
Nshafanya vyakutosha nasemaaaajeeeeee nasemajee kila mwanamke ana majiiiiiiiiiiiiiii🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️!itabidi utusaidie kuwafanyia research, naomba nitumike kama mtestiji
Unaona sasa shida ya ma jobless 😂😂acha maneno mtumie hela!!
Anaongea from experience ujue😅Mbona kwa hisia sana🤣
Pesa nimezizoea mshamba_hachekwiUnaona sasa shida ya ma joblessness 😂😂
Lenie ni wa kishua hataki hela, anataka bahari na dunia tu. Ukibisha nakushusha nampa dunia utajijua pa kwenda.
Mie nimezoea ndizi ngumu ngumu zile mfano wa fia nazile nyingine zinaelekeana na fia pia ni ngumu ngumu kama za moshi huko ndio napenda kuzila hakuna cha matoke wala mavi yake!!Kipong wana menu ya matoke leo, karibu
endelea kuchangamsha genge😀Pesa nimezizoea mshamba_hachekwi
Mwambie huyo, ataishia kuita warembo shemeji. 😅Pesa nimezizoea mshamba_hachekwi
😅😅😅Mie nimezoea ndizi ngumu ngumu zile mfano wa fia nazile nyingine zinaelekeana na fia pia ni ngumu ngumu kama za moshi huko ndio napenda kuzila hakuna cha matoke wala mavi yake!!
Kiasili Kila mwanamke anayoooooo🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️!!