Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Weee wana ruango na bwetwale balaa yanii mie nakomaa kibishi !we na hiyo rangi yako basi hupati shida kuuza, wateja wanakuja kushangaa muuzaji mzungu
Sema wanapenda totoz lolππ!!
Weee wana ruango na bwetwale balaa yanii mie nakomaa kibishi !we na hiyo rangi yako basi hupati shida kuuza, wateja wanakuja kushangaa muuzaji mzungu
Nawajua sana, ndo mana nikasema duka lako litakuwa la kuja kujionyesha kwa kutanya manunuzi.Weee wana ruango na bwetwale balaa yanii mie nakomaa kibishi !
Sema wanapenda totoz lol!!
Kitambi kisije kukuzidia ukashindwa funga kamba za viatu bure πNatakiwa nikonde maraha yakizidi
Kunenepa ni jau, nitakuwa goigoiπ
OgeleaUzi umejaa maji π¦
Weka pilipili nyingi kwa bagia na sambusaKitambi kisije kukuzidia ukashindwa funga kamba za viatu bure π
Usinenepe hata
Chumvi ni nyingi, I can't swim πOgelea
Mtaalamu wa kulia kafikaπ LenieUzi umejaa maji π¦
Nahisi na vyakula mnywani kwa uzoefu wangu nilivyoona ni vyakula unajua kwaniniπ€π€π€π€π€π€!!Nafikiri ni nature tu, japo wengine wanasema ni ndizi ila sidhan, mbona moshi wanakula sana ndizi lakin mpaka tuweke mate![]()
Hiyo ni uongooooNafikiri ni nature tu, japo wengine wanasema ni ndizi ila sidhan, mbona moshi wanakula sana ndizi lakin mpaka tuweke mate![]()
Huku UKIMWI nje nje !! Kuna mizee inapenda chini balaa ukijifanya mjuaji unakwenda na majii!!Nawajua sana, ndo mana nikasema duka lako litakuwa la kuja kujionyesha kwa kutanya manunuzi.
Nahisi na vyakula mnywani kwa uzoefu wangu nilivyoona ni vyakula unajua kwaniniπ€π€π€π€π€π€!!
Pia inategemea na mchimbajiπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈπΆπ»ββοΈ!!
Yaani hapo utanimaliza haswaa.Kumbe unapenda pilipili, nitakutengenezea nzuri utaenjoy π
Ile jamii ya wanyankole (former Buganda empire) iko tofauti, kuanzia Burundi, Rwanda, Kagera na sehemu ya Uganda, kule Uganda kuna kabila wenyewe huwa wanaongezea urefu labia (sijui manora au majora) mpaka akiwa anatembea anajitekenyaHiyo ni uongoooo
Bk wanakula matoke
Moshi wanakula mshale.. hizo ni ndizi 2 tofauti

