Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahaha usiwaze mtoto mwenzangu .hofu imepungua kidogo😂
Hahaha usiwaze mtoto mwenzangu .hofu imepungua kidogo😂
Naona unamvutia gizani mshamba_hachekwi utajua hajuiHahaha usiwaze mtoto mwenzangu .
muache dada wa watu😂Naona unamvutia gizani mshamba_hachekwi atajua hajui
Siwezi kumchuna kihivyoNaona unamvutia gizani mshamba_hachekwi utajua hajui
Cha mtu huliwa na mtu bromuache dada wa watu😂
Siwezi kumchuna kihivyo
😂😂😂
Yaani hizo dawa zenu mnaziweza wenyewe 😂Ziko fresh na hazijakamaa hata
Kuna sehemu tu nimeungua
Ni kama tu kuungua kwa relaxer .
Dawa ni kali sanaYaani hizo dawa zenu mnaziweza wenyewe 😂
Siku nawekwa mara ya kwanza,mama yangu alikaa pembeni
Alivyosikia tu nasema pembeni kumeanza kuuma akasema muosheni mtoto haraka😂😂😂
Zilioshwa nywele zikawa vilevile kama hazijapakwa dawa😆
Ukitaka uzuri sharti uzurike.Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .
SahihiUkitaka uzuri sharti uzurike.
Unaona kuunguzwa kwa juu juu tu, vipi athari za hiyo dawa inayoingia mwilini.
Usihame, urembo ni bora shem langu. Vumilia tuSahihi
Athari ni kubwa sana , ndo maana nataka nihame huko kwenye dawa kali .
Nafuga rastaUsihame, urembo ni bora shem langu. Vumilia tu
Nafuga rasta
Niwe ras
Huku sipawezi
Hehee kumbe mbona sina taarifa 😂😂😂Taraka inakuhusu shem. Rasta pekee zinazovumilika ni zile za pale, zingine big no
Hehee kumbe mbona sina taarifa 😂😂😂
Niilikuwa nazitamani 😂😂😂
Asante shemNimeshakupa za ndaaaani kabisa.
Asante shem
Nibaki huku huku basi.
Mwishowe iwang'oe masikio😂Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .