Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ziko fresh na hazijakamaa hata
Kuna sehemu tu nimeungua
Ni kama tu kuungua kwa relaxer .
Yaani hizo dawa zenu mnaziweza wenyewe 😂

Siku nawekwa mara ya kwanza,mama yangu alikaa pembeni
Alivyosikia tu nasema pembeni kumeanza kuuma akasema muosheni mtoto haraka😂😂😂
Zilioshwa nywele zikawa vilevile kama hazijapakwa dawa😆
 
Yaani hizo dawa zenu mnaziweza wenyewe 😂

Siku nawekwa mara ya kwanza,mama yangu alikaa pembeni
Alivyosikia tu nasema pembeni kumeanza kuuma akasema muosheni mtoto haraka😂😂😂
Zilioshwa nywele zikawa vilevile kama hazijapakwa dawa😆
Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .
 
Dawa ni kali sana
Siku jamani niliunguzwa hdi kwenye sikio . ndo nikaona hapa ni shida tu tunazitafuta .
Ukitaka uzuri sharti uzurike.
Unaona kuunguzwa kwa juu juu tu, vipi athari za hiyo dawa inayoingia mwilini.
 
Back
Top Bottom