Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Nimeanza kupaka dawa darasa la pili au tatuMimi madawa madawa hayo nimewahi kuweka mara moja tu nadhani
Baadae ndo kunyoa huko hadi chuo tena nikaanza kuweka tena
Nimeanza kupaka dawa darasa la pili au tatuMimi madawa madawa hayo nimewahi kuweka mara moja tu nadhani
Kha kumbeWashenzi ,waliniharibia nywele,nimehangaika sn
Maana baadae walitoa aina tofauti km 8 hivi
Ile nayotumia ikaondolewa kabisa sokoni🙌
Nimeteseka mpk kuja kutulia kwenye mega
AiseeNimeanza kupaka dawa darasa la pili au tatu
Baadae ndo kunyoa huko hadi chuo tena nikaanza kuweka tena
Yaaani unakuwa kama mtumwaYanachoshq sana madawa
AiseeHahaa
Sio mpk nijione,si nashika nywele ,sio kazi
Yani mtumwa mtumwa 😂😂Yaaani unakuwa kama mtumwa
Baada ya muda uweke tena
Wenye hela za mawazo za kuunga ,hiyo mikiki hatuwezi [emoji23]
Tulikuwa tunapaka beautiful begginings nzuri sana kwa watoto .Aisee
showoff🚮🚮
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mtumwa mtumwa [emoji23][emoji23]
Ndo maana nimeahamia huku kwa muhogo .
Dawa feki sana yaani unapaka leo baada ya siku nne , nywele hzo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wakati kila baada ya mwezi napaka dawa na bado steaming .
Cheap is good sometimes
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Show na weweshowoff🚮🚮
Mpaka izunguke kwako nitakuwa nishakufa kwahiyo sito onaau sio mwanangu??
dunia inazunguka, utakuja
Dada yangu ananicheka huyo na kuniambiw si umepaka dawa wewe 😂😂😂 .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mihogo inatusave sana😂Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
Hujui tu, wenye pesa ndio wala mihogo kwa wingi bro.mihogo inatusave sana😂
Ase nimechekaa sana mpaka nalia[emoji170][emoji170] mandeiiii
Hallah!! Mlio kazini nendeni kupataa breakfast.
Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
fafanua....Hujui tu, wenye pesa ndio wala mihogo kwa wingi bro.