Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Dawa ya muhogo inaitwaDuh
Dawa gani hiyo
Inaitwaje 🤣
Natural ..
Nikimzoea yule dada nitamuuliza 😂😂😂
Dawa ya muhogo inaitwaDuh
Dawa gani hiyo
Inaitwaje 🤣
😂😂😂😂Rahisi uwa najipaka mwenyewe
Eeh sasa hii yule dada kaniambia isishike chini ,
mimi bhana uwii nikasema ah itakuwa kawaida tu nimezoea eh kumbe muhogo ni mchungu sana dadeq .
Napaka tu tayari nikaanza kusikia naumia . nikawahi kuosha na zimekolea 😂😂😂
SanaaSaluni wanazingua sana , mimj napenda kwenda saluni za wanaume kwanza wanajua kustyle nywele .
ukitoka na umependeza na nywele zavutia .
AiseeInawezekana
Hata mi najiweka mwenyewe vzr tu
Mara chache naenda saluni
Duh 🤣Dawa ya muhogo inaitwa
Natural ..
Nikimzoea yule dada nitamuuliza 😂😂😂
Wadada anajishaua na kukuchana vibaya vibaya .Sanaa
Wengi wapo kibiashara , kwahiyo usipoijua nywele yako ni shida
Mimi madawa madawa hayo nimewahi kuweka mara moja tu nadhaniNzuri sana though
Hupotezi muda na pia nywele inachelewa kuota .
HahaaAisee
Unajionaje sasa kisogoni
Nilitumia olive baada ya muda aisee ikanifanya niwe kitukoDuh 🤣
Naisikiaga tu
Ila mi dawa ikinielewa natulia hapo, na nahakikisha natumia full package
Yanachoshq sana madawaMimi madawa madawa hayo nimewahi kuweka mara moja tu nadhani
Washenzi ,waliniharibia nywele,nimehangaika snNilitumia olive baada ya muda aisee ikanifanya niwe kituko
Nilikosea na kutumia ya kopo
Huku kwenye kichogo zote zikakatika .
Ikabidi ninyoe mwaka ule .
Nimeanza kupaka dawa darasa la pili au tatuMimi madawa madawa hayo nimewahi kuweka mara moja tu nadhani
Kha kumbeWashenzi ,waliniharibia nywele,nimehangaika sn
Maana baadae walitoa aina tofauti km 8 hivi
Ile nayotumia ikaondolewa kabisa sokoni🙌
Nimeteseka mpk kuja kutulia kwenye mega
AiseeNimeanza kupaka dawa darasa la pili au tatu
Baadae ndo kunyoa huko hadi chuo tena nikaanza kuweka tena
Yaaani unakuwa kama mtumwaYanachoshq sana madawa

AiseeHahaa
Sio mpk nijione,si nashika nywele ,sio kazi
Yani mtumwa mtumwa 😂😂Yaaani unakuwa kama mtumwa
Baada ya muda uweke tena
Wenye hela za mawazo za kuunga ,hiyo mikiki hatuwezi![]()
Tulikuwa tunapaka beautiful begginings nzuri sana kwa watoto .Aisee