mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,374
- 75,721
kuna mtu hapo kashaloa....
kuna mtu hapo kashaloa....
Oyeeee😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥Dada yangu ananicheka huyo na kuniambiw si umepaka dawa wewe 😂😂😂 .
Hii ya muhogo kashangaaa ati
Muhogo oyeee 😂😂😂
Ibada ikiisha lazima David akasalimiwe na kukaribishwa vizuri kanisani 🤣
Noma sana 😂😂😂Oyeeee😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥
Hatari sana nyie watu na hizo dawa zenu🤣
Na kachumbaliiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mihogo inatusave sana[emoji23]
😂😂😂😂😂[emoji170][emoji170] mandeiiii
Hallah!! Mlio kazini nendeni kupataa breakfast.
Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima akaribishwe kwa ukarimu mkuu😅Ibada ikiisha lazima David akasalimiwe na kukaribishwa vizuri kanisani 🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka na ufurahi, maisha ndo haya haya.Ase nimechekaa sana mpaka nalia
Dawa tunayo hatuna?😆Noma sana 😂😂😂
Habari ??mihogo inatusave sana😂
Tunapita mara 2 2 kumsalimia DavidLazima akaribishwe kwa ukarimu mkuu😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UE Bado njaa unaipatia wapi?
Boom limekata?
Kula la mwisho mwisho
Huku mtaani wenge la kukosa bumu nihatari
Ziko fresh na hazijakamaa hataDawa tunayo hatuna?😆
Akiyanani
Hapo nywele zinakakamaa kichwani nyie hayo ni mateso
Chezea fursa wewe😂😂 unaweza kukuta mpaka mama mchungaji aligeuka hapo😂Tunapita mara 2 2 kumsalimia David
Na kama akikosa seat tunamtafutia
Acha madem wa watu huna hela wewe.nzuri tinsley
vipi wewe...
Salamanzuri tinsley
vipi wewe...
mihogo ni chakula cha maskini
Shem hi ...Acha madem wa watu huna hela wewe.