mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,269
- 71,936
showoff🚮🚮
showoff🚮🚮
Yani mtumwa mtumwa
Ndo maana nimeahamia huku kwa muhogo .
Dawa feki sana yaani unapaka leo baada ya siku nne , nywele hzo
Kuna wakati kila baada ya mwezi napaka dawa na bado steaming .
Cheap is good sometimes
![]()





Show na weweshowoff🚮🚮
Mpaka izunguke kwako nitakuwa nishakufa kwahiyo sito onaau sio mwanangu??
dunia inazunguka, utakuja
Dada yangu ananicheka huyo na kuniambiw si umepaka dawa wewe 😂😂😂 .
mihogo inatusave sana😂Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
Hujui tu, wenye pesa ndio wala mihogo kwa wingi bro.mihogo inatusave sana😂
Ase nimechekaa sana mpaka naliamandeiiii
Hallah!! Mlio kazini nendeni kupataa breakfast.
Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
![]()
fafanua....Hujui tu, wenye pesa ndio wala mihogo kwa wingi bro.
kuna mtu hapo kashaloa....
Oyeeee😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥Dada yangu ananicheka huyo na kuniambiw si umepaka dawa wewe 😂😂😂 .
Hii ya muhogo kashangaaa ati
Muhogo oyeee 😂😂😂
Ibada ikiisha lazima David akasalimiwe na kukaribishwa vizuri kanisani 🤣
Noma sana 😂😂😂Oyeeee😆😆😆😆😆😆🔥🔥🔥
Hatari sana nyie watu na hizo dawa zenu🤣
Na kachumbaliiiiimihogo inatusave sana![]()





😂😂😂😂😂mandeiiii
Hallah!! Mlio kazini nendeni kupataa breakfast.
Majobless tunarandaa mitandaoni, huku njaa inataka kutoboa utumbo.
![]()
Lazima akaribishwe kwa ukarimu mkuu😅Ibada ikiisha lazima David akasalimiwe na kukaribishwa vizuri kanisani 🤣