Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Fanya kwa shipping...kuna mchaga mmoja yupo Germantown Maryland , huwa anavusha kwa maji

Nilirudi likizo Tanzania na mabegi kama 10 nimewaletea ndugu, jamaa na marafiki, hususan shangazi, mama wadogo na dada zawadi, vi perfume na handbags. Vi suti suti kwa cousins, vi laptops, vi camera vi vikorokoro kibao. Nilitumia kama US $20,000 hivi kwa shopping hiyo, kwa sababu nilikuwa sijarudi nyumbani kitambo, na sikutaka kurudi mikono mitupu kwa wapendwa wangu niliowamiss sana.

Airport Dar wakawa hawataki kukubali kwamba mabegi yote yale zawadi, wakawa wanadai nafanya biashara.

Wangekuwa hawana ujinga kama huo kila mwaka ningekuwa napeleka mzigo, tena si wa kuuza, wa kugawa tu.
 
....
2002651.jpeg
 
Life isn't fair......🏃🏃🏃
Unajua kuna kitabu kimoja nilikuwa nasoma kinaelezea kwa nini ulimwengu upo, na kwa nini umeweza kutokea.

Kinaitwa "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story".

Wanakwambia, ulimwengu unaweza ku exist kwa sababu ya imbalance fulani zilizotokea katika nothingness.

Yani, kulikuwa na perfect nothingness, yani tuseme chaji negative na positive zimebalance, kwa hiyo net result ikawa zero.

Basi ile zero ikapata chafya kidogo tu, ilipopiga chafya ikaharibu balance, ikawa kama chafya imeenda kusabisha imbalance, ile imbalance ndiyo ikazaa ulimwengu.

Kwa hivyo, tukirudi kwenye msemo wako wa "Life ins't fair", tunajikumbusha kwamba, if life was fair, it wouldn't exist.

Kwa sababu ujue mama kuzaa mtoto, halafu mtoto akawa mdogo kwa mama si fair.

Fair world ingetaka mtoto na mama wote wawe na umri mmoja, ingetaka mtu asile mnyama (kula mnyama si fair kwa mnyama) ingetaka mtu asile mmea kuuua mmea ili uule si fair kwa mmea). Ingetaka mmea usichukue madini ardhini (kuyatoa madini ardhini na kuyaweka kwenye mmea sio fair kwa madini.

Ukitaka life iwe fair, utajikuta unaua life yote.

Sasa chagua, unfair life ambayo unaweza kupambana, au no life at all, which is fair to all?
 
Mkuu nisaidie basi ni-meet na Atoto, yeye haelewi kukutana live ndio mpango mzima, ila hiyo ya ku-check mwaka mzima mimi sitaweza
Nilishawahi kutana na manz mmoja jf aisee Ni mzuri hatar n a Yuko good kwa bed aiseee japo alisumbua lakin akajaa katika 18 akaja maeneo Ila daaah nammiss SanaMana Kuna jamaa kaoa ila mmmmmh
 
Yaani umeona enh?? Nilikuwaga sijawahi kujua hilo ila siku hizi na mimi nimejikuta natambaa na beat tu!!

Yaani mkaka akiniita baby namuitikia baby mdada akiniita dear namuitikia dear maana nimeshagundua that's how the thing goes

Ila mwanzo nilikuwa nikiona watu wanaitana hivyo nikawa najua ni wapenzi kweli au ni ndugu kweli kumbe ni swaga tu

Mwisho wa siku genge lichangamshwe

Mie ninaowaita "baby" wote ni wangu. Kwahiyo wakija pm nistue tu.

Cc woooote.
 
Back
Top Bottom