Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

CHAT NA PICHA
20191114_180656.jpeg
 
Ukiacha na kuunganishwa kuna watu humu ni majasusi wa kutambua watu wenye id zaidi ya moja na sijui wanatambuaje,, imagine unachat na watu kwa id nne tofauti unadhani hawajui kumbe wanajua sana ila wanakuchora tu.. mwisho wa siku unakuta wanakusema kwa codes utasikia halafu yule fulani naye anajishaua na viid vyake uchwara vile anadhani hatumjui duuh
Mwandiko. Unapo log in kwa id nyingine inabidi ubadilike kabisa.
 
Mimi rafiki zangu ni hapa jukwaani tuu jamani!! Na almost wadada wote! Huko kwenye dunia ingine sina kabisaa naejuana naye!

Tho, Hongera sana kwa uaminifu!! Ila nakudai kitalu changu bado

Safari hii nalo

Kitalu lazima upate.


We malizia heka heka zako!!
ukitulia na pilika pilika: ukuje nakumilikisha kabisa.

Kuwa na amani kabisa
 
Back
Top Bottom