Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Viatu vyangu kupata vumbi ni vigumu sana, kwa sababu nikikivaa leo, kukirudia ni mpaka miaka miwili ipite, halafu kikitoka mlangoni nyumbani kinapiga hatua chache kwenda kwenye BMW, kikitoka kwenye BMW, kinapiga hatua chache kuingia ofisini.

Kinachopata tabu labda rubber ya mazoezi kwenye treadmill.

Haya mabuti na vimoka niliacha kuhesabu nilipofikisha 600, kuna vingine hata kuvaa bado sijawahi kuvivaa.

Sasa katika mazingira hayo, vumbi labda kwenye closet, na mimi nyumbani full AC sifungui madirisha, vumbi kufika kwenye closet ni tabu sana.

Just sayin'.
Life isn't fair......🏃🏃🏃
 
hahaha uzuri zaidi ni mmoja ya rafiki zako.

Aliniungishaga gunia za mpunga za kutosha.

"Uaminifu" ni kitu cha ajabu kabisa
Alinitumia pesa ya gunia "25" pasipo hata kuniona nikiwa igurusi mbeya.

Nilimfungia mzigo wake nanikamtumia kwa uaminifu. Since then hatuna shida kabisa mpaka Leo ananitumia kupata mzigo wa nafaka zake.

Usiogope juana na watu kikubwa kuwa makini tu.
Mimi rafiki zangu ni hapa jukwaani tuu jamani!! Na almost wadada wote! Huko kwenye dunia ingine sina kabisaa naejuana naye!

Tho, Hongera sana kwa uaminifu!! Ila nakudai kitalu changu bado
 
Hahaha hakika umepitia magumu mamiii...

Kwa hiyo kwa sasa mmefikia wapi?
Kuna limkaka limoja humu ye alikuwa akiniqoute ananibadilishia content ya comment yangu..ataweka neno baby au upuuzi wowote atakao jisikia, nikareport akakula ban ya mwezi mzima

Sikupenda maana mtu akija kucheck atahisi me ndio nilikuwa najibebisha
 
Khaa na vyenye kuna id kongwe zimeanza kupotea humu basi sisi tuliojiunga mwaka huu wengi tunaonekana ni old members in new ids kumbe wala,, hauwezi amini eti kuna watu humu hadi leo wanadhani mie ni old member in new id na nimeamua kuwaacha waamini hivyo hivyo nifanyaje sasa.. maana siwezi kujitetea sana utadhani kuna viboko
😂😂😂😂 uwe unaacha kuyajibu
 
Ukiacha na kuunganishwa kuna watu humu ni majasusi wa kutambua watu wenye id zaidi ya moja na sijui wanatambuaje,, imagine unachat na watu kwa id nne tofauti unadhani hawajui kumbe wanajua sana ila wanakuchora tu.. mwisho wa siku unakuta wanakusema kwa codes utasikia halafu yule fulani naye anajishaua na viid vyake uchwara vile anadhani hatumjui duuh
Ni ngumu sana kujua. Wengi tu wana id zaidi ya moja.
 
Back
Top Bottom