RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,754
- 129,487
Bado wewe nikuone...miaka miwili si ishapitaNiwaone jamanii!! Kumbe ulifaidi mwenyewe tuu
Bado wewe nikuone...miaka miwili si ishapitaNiwaone jamanii!! Kumbe ulifaidi mwenyewe tuu
Niunganishe naye hebuMkuu ni _ ke_ .
and she is very successful.
ova.



hilo nalo neno,, nitaitikia kwa wale ambao ninawakubali tu maana nina crew langu la wakaka humu nawakubali mno yaani nikionaga comments zao hata kama wameandika pumba nafarijika tu mimi..
Wee hapo inategemea na mkaka mwenyewe. Lol
Bado wewe nikuone...miaka miwili si ishapita











Niko singida mimi jamani
Mradi siku iendeee dear
Mkuu $$$ zote hizo unaenda kunywa ngumu kumezaNa siku ndio inaisha kama hivi, ngoja nikanywe konyagi sasa View attachment 1274499
Hallelujahhilo nalo neno,, nitaitikia kwa wale ambao ninawakubali tu maana nina crew langu la wakaka humu nawakubali mno yaani nikionaga comments zao hata kama wameandika pumba nafarijika tu mimi..
AbeeeeUmeanza..
Nimekusoma kimya kimya kama kawaida
Yaaaniii mecheka mimiii jamani!!!
Yeah miaka miwili imepita jamani!! Hivi kumbe ulikuwa wasoma eeehhh!!!



ndiyo baby,, halafu unajua punguza bangi baby..
Kabisa dada maisha yenyewe mafupi haya,, kwa kifupi naenjoy sana kuwa JF yaani..






Abeeee
Kuna watu wa kuchangamsha genge sio wewe kaka!! Unajua kuzitumia fursa vizuri
Daaaaahhh!!!Nimekusoma kimya kimya kama kawaida
Haha kuna watu humu wana mambo ya ajabu... Kuna mtu alinikomaliaga kwenye jukwaa hadi PM eti mm ni Demiss
Jamaaaaaniiiiii
Sawa kakaAaaaah sasa si mpka nipende dada....tatizo moyoo![]()
Mmmmhhhhhhhh