Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Sitaki ka jiniUmesema hutaki
Umesema unamsubiri kwa hamu
Lipi ni jibu sahihi?
Nasubiri kampani yake .
Sitaki ka jiniUmesema hutaki
Umesema unamsubiri kwa hamu
Lipi ni jibu sahihi?
Sawa nitamwambiaSitaki ka jini
Nasubiri kampani yake .
Mfikishe salamu ..Sawa nitamwambia
Kuna viumbe vina bahati hapa duniani,
Unataka kumponza tu binamu yanguMfikishe salamu ..
Akuje sayari yetu huku 😂😂
Naanzaje aiseeUnataka kumponza tu binamu yangu
Nyie binadamu hamueleweki, upendo wenu umejaa stress sana.
Umewahi kumuona?Naanzaje aisee
Nampenda sana binamu yako, nilivyo loyal sasa .
Love is surely crazy , hata ukiwa hujamuona mtu , ahh the feeling is terrific .Umewahi kumuona?
Unampendaje baby yoda ambae hujawahi kumuona?
Umetumia lugha gani hapoLove is surely crazy , hata ukiwa hujamuona mtu , ahh the feeling is terrific .
Umeelewa bhanaUmetumia lugha gani hapo
Sijakuelewa
Kweli sijaelewa, elimu yangu ni ndogo mno.Umeelewa bhana
Sio lazima umuone , baby yoda naona post zake daily , huwa ananifurahisha sana ..
Kwenye mtandao humuKweli sijaelewa, elimu yangu ni ndogo mno.
Unaziona wapi?
Kumbe, basi mfikishie tu ujumbe wako kuwa unampenda. Kwa nini unanitumia mimi?Kwenye mtandao humu
Wewe umesema ni binamu yakee eeh??Kumbe, basi mfikishie tu ujumbe wako kuwa unampenda. Kwa nini unanitumia mimi?
Ndio ni binamu yangu.Wewe umesema ni binamu yakee eeh??
Mpo karibu , mwambie tu ataelewa .
Okay sawa nitamfikisha mwenyewe .Ndio ni binamu yangu.
Hili gumu sana kwangu, nikushauri tu kama vipi mfikishie tu ujumbe. Mimi sitaki kumuingiza kwenye matatizo akanilaumu baadae.
Wakati mwemaOkay sawa nitamfikisha mwenyewe .
Thank you .
Mbona kama nyokaMsusa
Hapana wanakuwa warefu tu wale ambao wakiwa wadogo Huwa wanakunjwaMbona kama nyoka
Ooh kambaleHapana wanakuwa warefu tu wale ambao wakiwa wadogo Huwa wanakunjwa
Sio kambale nitaleta pichaOoh kambale